1962 : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.7.2+) (Roboti: Imeongeza zea:1962 |
|||
Mstari 190: | Mstari 190: | ||
[[yi:1962]] |
[[yi:1962]] |
||
[[yo:1962]] |
[[yo:1962]] |
||
[[zea:1962]] |
|||
[[zh:1962年]] |
[[zh:1962年]] |
||
[[zh-min-nan:1962 nî]] |
[[zh-min-nan:1962 nî]] |
Pitio la 14:32, 18 Aprili 2012
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 19 |
Karne ya 20
| Karne ya 21
◄ |
Miaka ya 1930 |
Miaka ya 1940 |
Miaka ya 1950 |
Miaka ya 1960
| Miaka ya 1970
| Miaka ya 1980
| Miaka ya 1990
| ►
◄◄ |
◄ |
1958 |
1959 |
1960 |
1961 |
1962
| 1963
| 1964
| 1965
| 1966
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1962 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
- 20 Februari - John Glenn anazunguka dunia katika chombo cha angani akiwa Mmarekani wa kwanza kufanya hivyo.
- 1 Julai - Nchi za Burundi na Rwanda zinapata uhuru kutoka Ubelgiji.
- 5 Julai - Nchi ya Algeria inapata uhuru kutoka Ufaransa.
- 6 Agosti - Nchi ya Jamaika inapata uhuru kutoka Uingereza.
- 9 Oktoba - Nchi ya Uganda inapata uhuru kutoka Uingereza.
Waliozaliwa
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
- 1 Januari - Richard Roxburgh, mwigizaji filamu kutoka Australia
- 4 Januari - Binilith Satano Mahenge, mwanasiasa wa Tanzania
- 17 Januari - Jim Carrey, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 20 Aprili - Cosmas Masolwa Masolwa, mbunge wa Tanzania
- 16 Juni - Femi Kuti, mwanamuziki kutoka Nigeria
- 4 Oktoba - Ruth Blasio Msafiri, mwanasiasa wa Tanzania
- 19 Novemba - Jodie Foster, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
Waliofariki
- 15 Machi - Arthur Holly Compton, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1927
- 22 Juni - Shaaban Robert (mshairi maarufu wa Tanzania)
- 6 Julai - William Faulkner (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1949)
- 5 Agosti - Marilyn Monroe, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 9 Agosti - Hermann Hesse (mwandishi Mjerumani na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi mwaka wa 1946)
- 3 Septemba - Edward Cummings, mwandishi kutoka Marekani
- 18 Novemba - Niels Bohr (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1922)
Wikimedia Commons ina media kuhusu: