8 Julai

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Julai 8)
Jun - Julai - Ago
1 2 3 4 5 6 7
8 9 10 11 12 13 14
15 16 17 18 19 20 21
22 23 24 25 26 27 28
29 30 31
Kalenda ya Gregori

Tarehe 8 Julai ni siku ya 189 ya mwaka (ya 190 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 176.

Matukio[hariri | hariri chanzo]

Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]

Waliofariki[hariri | hariri chanzo]

Sikukuu[hariri | hariri chanzo]

Wakristo wengi, wakifuata mapokeo ya Roma, huadhimisha kumbukumbu za watakatifu Akwila na Priska, Gliseria, Prokopi Mkuu, Pankrasi wa Taormina, Auspisi wa Toul, Disibodo, Landrada, Kiliani wa Wurzburg, Wafiadini Waabrahamu, Papa Adrian III, Yohane Wu Wenyin n.k.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu 8 Julai kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.