Wafiadini Waabrahamu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Wafiadini Waabrahamu (walifariki Konstantinopoli, leo Istanbul nchini Uturuki, 835 hivi) ni kundi la wamonaki wa mji huo ambao waliuawa wakati wa dhuluma ya kaisari Teofilo wa Bizanti kwa sababu ya kuheshimu picha takatifu [1].

Wanaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao inaadhimishwa kila mwaka tarehe 8 Julai[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.