Prokopi Mkuu

Prokopi Mkuu (Yerusalemu, Palestina, karne ya 3 - Kaisarea Baharini, leo nchini Israeli, 8 Julai 303) alikuwa Mkristo aliyeuawa kwa kukatwa kichwa katika mji huo kwa sababu ya imani yake mwanzoni mwa dhuluma ya kaisari Diokletian[1].
Kabla ya hapo aliishi kwa uadilifu na wema[2], pamoja na kuwa mtaalamu wa falsafa na teolojia[3][4].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.
Sikukuu yake huadimishwa tarehe 8 Julai[5] au 22 Novemba[3][4].
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/61400
- ↑ Saints of July 8. Jalada kutoka ya awali juu ya 2019-12-29. Iliwekwa mnamo 2020-07-07.
- ↑ 3.0 3.1 Great Synaxaristes: Ὁ Ἅγιος Προκόπιος ὁ Παλαιστίνιος. 22 Νοεμβρίου. ΜΕΓΑΣ ΣΥΝΑΞΑΡΙΣΤΗΣ.
- ↑ 4.0 4.1 Martyr Procopius the Reader at Caesarea, in Palestine. OCA - Lives of the Saints.
- ↑ Martyrologium Romanum
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- "St. Procopius, Martyr", Butler's Lives of the Saints
- Greatmartyr Procopius of Caesarea, in Palestine Orthodox icon and synaxarion for July 8
- Saints of July 8: Procopius of Scythopolis Archived 29 Desemba 2019 at the Wayback Machine.
- San Procopio di Cesarea di Palestina
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |