Karne ya 3

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ulimwengu wa Kale mwanzoni mwa karne ya 3.
Ramani ya dunia mwaka 250.
Ulimwengu wa Kale mwishoni mwa karne ya 3.

Karne ya 3 ilikuwa kipindi cha miaka mia moja kati ya 201 na 300. Kikamilifu kilianza tarehe 1 Januari 201 na kuishia 31 Desemba 300. Namba zake zinafuata hesabu ya miaka "baada ya Kristo".

Kama kila "karne" ni kipindi kinachohesabiwa kwa hiari ya binadamu kwa sababu ni mgawanyo wa kalenda tu: katika hali halisi maendeleo na mabadiliko makubwa hayafuati migawanyo ya kalenda ya kibinadamu.

Matukio[hariri | hariri chanzo]

Karne: Karne ya 2 | Karne ya 3 | Karne ya 4
Miongo na miaka
Miaka ya 200 | 200 201 202 203 204 205 206 207 208 209
Miaka ya 210 | 210 211 212 213 214 215 216 217 218 219
Miaka ya 220 | 220 221 222 223 224 225 226 227 228 229
Miaka ya 230 | 230 231 232 233 234 235 236 237 238 239
Miaka ya 240 | 240 241 242 243 244 245 246 247 248 249
Miaka ya 250 | 250 251 252 253 254 255 256 257 258 259
Miaka ya 260 | 260 261 262 263 264 265 266 267 268 269
Miaka ya 270 | 270 271 272 273 274 275 276 277 278 279
Miaka ya 280 | 280 281 282 283 284 285 286 287 288 289
Miaka ya 290 | 290 291 292 293 294 295 296 297 298 299

Kuna mambo mengi yaliyotokea wakati wa karne hii, kama vile:

Watu maarufu[hariri | hariri chanzo]