Barbados
Jump to navigation
Jump to search
| |||||
Kaulimbiu ya taifa: "Pride and Industry" | |||||
Wimbo wa taifa: In Plenty and In Time of Need | |||||
Mji mkuu | Bridgetown | ||||
Mji mkubwa nchini | Bridgetown | ||||
Lugha rasmi | Kiingereza | ||||
Serikali | Ufalme wa kikatiba Malkia Elizabeth II Sandra Mason Mia Mottley | ||||
Uhuru kutoka Uingereza |
30 Novemba 1966 | ||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
431 km² (ya 199) Kidogo sana | ||||
Idadi ya watu - [[]] kadirio - 1010 sensa - Msongamano wa watu |
(ya 181) 277,821 660/km² (ya 15) | ||||
Fedha | Barbados dollar ($) (BBD )
| ||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
(UTC-4) (UTC) | ||||
Intaneti TLD | .bb | ||||
Kodi ya simu | +1-246
- |
Barbados ni nchi ya kisiwani katika Bahari ya Karibi takriban 430 km kaskazini - mashariki kwa Venezuela (Amerika Kusini).
Nchi jirani za karibu kuvukia bahari ni Saint Lucia na Saint Vincent upande wa magharibi, Trinidad na Tobago upande wa kusini na Grenada upande wa kusini-magharibi.
Barbados ni kisiwa cha Antili Ndogo. Kwa urefu kinafikia km 34 na kwa upana 23.
Wakazi ni 277,821, na kwa asilimia 93 wana asili ya Afrika.
Upande wa dini, 74.6% ni Wakristo, hasa Waanglikana.
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Bahari ya Karibi bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Barbados kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |