Saint Martin

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kisiwa cha Saint Martin
Saint-Martin na sehemu ya bahari ya Karibi iliyo chini yake.
Ramani ya kisiwa ikionyesha Saint-Martin ya Kifaransa (kaskazini) na Sint Maarten ya Kiholanzi (kusini).

Saint Martin (jina rasmi la Kifaransa ni Collectivité de Saint-Martin) ni eneo la ng'ambo la Ufaransa linalopatikana kaskazini mwa kisiwa chenye jina hilo, ambacho thuluthi ya kusini ni mwanachama wa Ufalme wa Nchi za Chini, mbali ya visiwa vingine vidogo.

Ukubwa wa eneo ni kilometa mraba 53.2.

Makao makuu yako Marigot.

Idadi ya wakazi ni 35,107 (mnamo Januari 2014).

Kabla ya mwaka 2007 ilikuwa chini ya Guadeloupe.[1][2]

Mkataba wa Lisbon unaweka wazi kuwa Saint-Martin ni sehemu ya Umoja wa Ulaya.[3]

Wakazi wanaongea hasa Kiingereza na Krioli yake, mbali ya Kifaransa ambacho ndicho lugha rasmi.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Makala hii kuhusu maeneo ya Bahari ya Karibi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Saint Martin kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Coordinates: 18°4′31″N 63°3′36″W / 18.07528°N 63.06000°W / 18.07528; -63.06000