Wamakwe
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Wamakwe (pia huitwa Wamaraba) ni kabila la Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Mtwara. Kwa wingi wako zaidi Msumbiji. Lugha yao ni Kimakwe.
| Makala hii kuhusu utamaduni wa Tanzania bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Wamakwe kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
| Makala hiyo kuhusu "Wamakwe" ni fupi mno. Inahitaji kupanuliwa mapema. |