Wahaya

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta

Wahaya ni Kabila linalopatikana katika Mkoa wa Kagera, Kaskazini Magharibi mwa Tanzania, kandokando mwa Ziwa Victoria. Lugha yao ni Kihaya. Kabila la kihaya ndo kabila kubwa katika mkoa wa Kagera kutokana na sensa iliyofanyika siku za karibuni.

Flag of Tanzania.svg Makala hii kuhusu utamaduni wa Tanzania bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Wahaya kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.