Wakerewe
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Wakerewe ni kabila la Tanzania wanaoishi kwenye kisiwa cha Ukerewe katika Ziwa la Viktoria. Lugha yao ni Kikerewe.
| Makala hii kuhusu utamaduni wa Tanzania bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Wakerewe kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |