Mpira wa miguu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mpira wa miguu ni mchezo wa mpira ambapo timu mbili za wachezaji kumi na mmoja wanashindana. Wachezaji wanacheza kwa miguu; pia wanaruhusiwa kutumia sehemu nyingine za mwili ila mikono hairuhusiwi kutumiwa. Mlinda mlango ndiye anayeruhusiwa kutumia mikono. Wachezaji wengine wanaweza kutumia mikono iwapo mpira ni wa kurushwa baada ya kutoka nje ya uwanja.

Simple English Wiktionary
Wikamusi ya Kiswahili ina maelezo na tafsiri ya maana ya neno:
Image:WikiLettreMini.svg Makala hiyo kuhusu "Mpira wa miguu" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Mpira wa miguu kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Vifaa binafsi