Mguu
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Miguu)
Mchoro wa mguu wa binadamu
Mguu ni sehemu ya mwili chini ya kiwiliwili. Binadamu huwa na miguu miwili na anaitumia kwa kutembea.
Mguu ni sehemu ya mwili chini ya kiwiliwili. Binadamu huwa na miguu miwili na anaitumia kwa kutembea.