Ronaldinho
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ronaldo de Assís Moreira, anafahamika zaidi kama Ronaldinho (amezaliwa tar. 21 Machi 1980 mjini Porto Alegre) ni mchezaji wa mpira wa miguu kutoka nchini Brazil. Mnamo mwezi Januari ya mwaka wa 2007 amekuwa raia kamili wa Hispania.
Viungo vya nje [hariri]
- Ronaldinho Gaúcho Official Website (Kihispania) (Kireno) (Kiingereza) (Kikatala)
- Ronaldinho profile at FC Barcelona website
- Ronaldinho profile at FIFA website
- Ronaldinho career stats kwenye Soccerbase
- Interactive Hypervideo of Ronaldinho in action
- Ronaldinho
Wikimedia Commons ina media kuhusu: