20 Septemba

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Septemba 20)
Ago - Septemba - Okt
1 2 3 4 5 6 7
8 9 10 11 12 13 14
15 16 17 18 19 20 21
22 23 24 25 26 27 28
29 30
Kalenda ya Gregori

Tarehe 20 Septemba ni siku ya 263 ya mwaka (ya 264 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 102.

Matukio[hariri | hariri chanzo]

Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]

Waliofariki[hariri | hariri chanzo]

Sikukuu[hariri | hariri chanzo]

Wakristo wengi, wakifuata mapokeo ya Roma, huadhimisha kumbukumbu za watakatifu Andrea Kim Taegon, Paulo Chong Hasang na wenzao, Dorimedonti, Eustaki wa Roma, Ipasi, Asiani na Andrea, Yohane Charles Cornay, Laurenti Han Ihyong na wenzake sita n.k.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu 20 Septemba kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.