Ipasi, Asiani na Andrea

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Ipasi, Asiani na Andrea (walifariki Konstantinopoli, leo nchini Uturuki, 740 hivi) walikuwa maaskofu na padri walioteswa na kaisari Leo III wa Bizanti na hatimaye kuuawa kwa kutupwa waliwe na mbwa kwa sababu ya kuheshimu picha takatifu[1].

Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 20 Septemba[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.