Mtumiaji:Zenman/Mradi wa Afrika
Makala iliyochaguliwa[hariri | hariri chanzo]
- Assia Djebar
- Eratosthenes
- Kampeni za Kivita katika Afrika ya Mashariki (Vita ya Kwanza ya Dunia)
- Zanj
- Jimbo Katoliki la Zanzibar
- Kanisa la Biblia Tanzania
- Chuo Kikuu cha Cape Town
- Chuo Kikuu cha Addis Ababa
- Hifadhi ya Taifa ya Hell's Gate
- Ziwa Nakuru
- Hifadhi ya Taifa ya Tsavo Mashariki
- Hifadhi ya Serengeti
Makala iliyochaguliwa kwa Aprili 2012[hariri | hariri chanzo]
Kampeni za Afrika ya Mashariki ulikuwa mfululizo wa mapigano ya kivita yaliyotokea Afrika ya Mashariki ya Kijerumani (Tanganyika, Rwanda na Burundi ya leo) na koloni jirani za Msumbiji, Rhodesia ya Kaskazini (Zambia), Afrika ya Mashariki ya Kiingereza (Kenya), Uganda, na Kongo ya Kibelgiji. Kampeni hizi zilianza mwezi wa Agosti 1914 zikaisha rasmi mnamo mwezi wa Novemba katika mwaka wa 1918. Wapiganaji katika vita hii walikuwa jeshi la kikoloni cha Kijerumani lililofanywa hasa na askari Waafrika waliosimamiwa na maafisa Wajerumani pamoja na walowezi Wajerumani na wanamaji wa manowari waliokaa Afrika ya Mashariki wakati wa mwanzo wa vita 1914. Dhidi yao walisimama jeshi dogo la kikoloni la Kiingereza katika Kenya na Rhodesia, halafu vikosi vya jeshi la kikoloni la Uhindi ya Kiingereza na vikosi kutoka Afrika Kusini.
Je, wajua...?[hariri | hariri chanzo]
- Ngugi wa Thiongo
- Ubuntu
- Gombe
- Hifadhi ya Arusha
- Hifadhi ya kisiwa cha Saanane
- Hifadhi ya Mikumi
- Hifadhi ya Ruaha
- Milima ya Udzungwa
Wasifu Uliochaguliwa[hariri | hariri chanzo]
- 01 Januari 2012 : Dennis Oliech
- 01 Februari 2012 : Haile Selassie
- 01 Machi 2012 : Patrice Lumumba
- 01 Aprili 2012 : Robert Mugabe
- 01 Mei 2012 : Shaka
- 01 Juni 2012 : Desmond Tutu
- 01 Julai 2012 : Kofi Annan
- 01 Agosti 2012 : Muammar al-Gaddafi
- 01 Septemba 2012 : Idris I wa Libya
- 01 Oktoba 2012 : Mohamed Abdelaziz
- 01 Novemba 2012 : Nelson Mandela
- 01 Desemba 2012 : Olusegun Obasanjo
Wasifu Uliochaguliwa kwa Aprili 2012[hariri | hariri chanzo]
Robert Gabriel Mugabe (* 21 Februari 1924) amekuwa kiongozi wa Zimbabwe tangu 1980. Yeye ni mwenyekiti wa chama tawala cha ZANU. 1980 alikuwa waziri mkuu na 1987 Rais wa Zimbabwe. Kabla ya wakati ule aliongoza upinzani wa ZANU dhidi ya serikali ya walowezi Waingereza nchini waliofuata siasa ya ubaguzi wa rangi. Mugabe alirudiwa katika uchaguzi mbalimbali. Tangu mwaka 2000 uchaguzi hizi zimekuwa mashakani kutokana na matishio na matumizi ya mabavu dhidi ya wapinzani. Utawala wa Mugabe umeitwa wa kidikteta tangu mwaka 2002. Kutokana na mashataka dhidi ya serikali ya Mugabe ya kudharau haki za binadamu nchi Zimbabwe ilisimamishwa ndani ya Jumuiya ya Madola.
kuchaguliwa picha kwa 2012[hariri | hariri chanzo]
-
01 Januari 2012
Picha inayoonyesha jahazi ndogo mjini Zanzibar. -
01 Februari 2012
Yasmine Hammamet Medina, Tunisia. -
01 Machi 2012
Shelisheli, kisiwa cha Mahé. -
01 Aprili 2012
Apalis flavida kutoka Abuko, Gambia. -
01 Mei 2012
Murchison Falls kutoka juu, Uganda. -
01 Julai 2012
Machweo ya jua katika Mto Nile kwa kisiwa cha Sherar, Dar al-Manas, kaskazini mwa Sudan. -
01 Agosti 2012
Chuo Kikuu cha Kinshasa, Kongo, Jamhuri ya Kidemokrasia. -
01 Septemba 2012
bustani ya Majorelle, Morocco. -
01 Oktoba 2012
Chuo Kikuu cha Zimbabwe. -
01 Novemba 2012
Ngoma kutoka Rwanda. -
01 Desemba 2012
Makuu ya Embu Kenya.
kuchaguliwa picha kwa Aprili 2012[hariri | hariri chanzo]
(kupata bango)