Erzurum

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Jimbo la Erzurum)
Mji wa Erzurum

Erzurum (Kiarmenia: Կարին Karin) ni mji uliopo mashariki mwa Anatolia, Uturuki. Jina la "Erzurum" linatokana na Kiarabu, yaani, "Arz-u Rûm" (maana yake Nchi ya Waroma[1]).

Mji wa Erzurum, una wakazi wapatao 361,235 (kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2000). Huu ni mji mkuu wa Jimbo la Erzurum, ambao ni jiji kubwa katika Mkoa Mashariki wa Uturuki ya Anatolia. Mji upo katika mita 1757 (futi 5766) kutoka juu ya usawa wa bahari na mji wenye hali ya baridi sana.

Historia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Erzurum Archived 6 Oktoba 2008 at the Wayback Machine., tovuti ya Lexicorient

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Erzurum kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.