Mardin

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mji wa Mardin


Mardin
Nchi Uturuki
Mkoa Kusini-mashariki mwa Anatolia
Jimbo Mardin
Idadi ya wakazi (2000)
 - Wakazi kwa ujumla 705,098
Tovuti:  http://www.mardin.bel.tr

Mardin (Kisyriaki:ܡܶܪܕܺܝܢ; inamaana ya "maboma") ni mji uliopo mjini kusini-mashariki mwa nchi ya Uturuki. Huu ni mji mkuu wa Jimbo la Mardin, unajulikana sana kwa ujenzi wake wa staili ya Kiarabu, na maeneo yake ya milima ya mawe inayoitazama Syria kwa upande wa kaskazini.[1] Mji wa Mardin una wakazi mchanganyiko, Waturuki, Wasyria, Waarabu na Wakurdi ambao wote wanawakilisha idadi kubwa ya watu.[2] Pia kuna idadi kiasi ya Waarmenia katika mji huu. Takriban watu 705,098 wanaoishi mjini hapa.

Maelezo[hariri | hariri chanzo]

  1. Mardin, Turkey, from planetware.com
  2. Encyclopaedia of the Orient - Mardin. Jalada kutoka ya awali juu ya 2008-09-26. Iliwekwa mnamo 2009-06-15.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Tavernier, Jean-Baptiste (1692), Les six voyages, I:187
  • Niebuhr, Carsten (1778), Reisebeschreibung, Copenhagen, II:391-8
  • Socin, Albert (1904), Der Arabische Dialekt von Mōsul und Märdīn, Leipzig.
  • della Valle, Pietro (1843), Viaggi, Brighton, I: 515
  • Makas, Hugo (1926), Kurdische Texte im Kurmanji-Dialekte aus der Gegend von Mardin. Petersburg-Leningrad.
  • Shumaysani, Hasan (1987), Madinat Mardin min al-fath al-'arabi ila sanat 1515. Bayrūt: 'Ālam al-kutub.
  • Jastrow, Otto (1969), Arabische Textproben aus Mardin und Asex, in "Zeitschrift der Deutschen Morgenländischen Gesellschaft" (ZDMG) 119 : 29-59.
  • Sasse, Hans-Jürgen (1971), Linguistische Analyse des Arabischen Dialekts der Mhallamīye in der Provinz Mardin (Südossttürkei), Berlin.
  • Minorsky, V. (1991), Mārdīn, in "The Encyclopaedia of Islam". Leiden: E. J. Brill.
  • Jastrow, Otto (1992), Lehrbuch der Turoyo-Sprache in "Semitica Viva – Series Didactica", Wiesbaden : Otto Harrassowitz.
  • Ayliffe, Rosie, et al.. (2000) The Rough Guide to Turkey. London: Rough Guides.
  • Wittich, Michaela (2001), Der arabische Dialekt von Azex, Wiesbaden: Harrassowitz.
  • Grigore, George (2007), L'arabe parlé à Mardin. Monographie d'un parler arabe périphérique. Bucharest: Editura Universitatii din Bucuresti, ISBN (13) 978-973-737-249-9 [1] Archived 27 Septemba 2007 at the Wayback Machine.

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mardin kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.