Jinsi kunavyoonekana mjini hapa wakati wa usiku.
Rize ni jina la kutaja mji mkuu wa Mkoa wa Rize huko nchini Uturuki. Mji upo mjini kaskazini-mashariki mwa pwani ya Bahari Nyeusi. Mji una wakazi takriban 78,144 wanaoishi mjini hapa. Mji upo 6 kutoka juu ya usawa wa bahari.
Idadi ya wakazi kwa miaka [hariri]
| Mwaka |
Idadi ya wakazi |
| 1975 |
36.044 |
| 1980 |
43.407 |
| 1985 |
50.221 |
| 1990 |
52.031 |
| 1997 |
73.420 |
| 2000 |
78.144 |
Viungo vya Nje [hariri]
 |
Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Rize kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |