Mkoa wa Manisa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mkoa wa Manisa, Uturuki
Mkoa wa Manisa
Maeneo ya Mkoa wa Manisa nchini Uturuki
Maelezo
Kanda: Kanda ya Aegean
Eneo: 13,810 (km²)
Idadi ya Wakazi 1,278,657 TUIK 2007 (est)
Kodi ya Leseni: 45
Kodi ya eneo: 0236
Tovuti ya Gavana http://www.manisa.gov.tr
Utabiri wa hali ya hewa turkeyforecast.com/weather/manisa

Manisa ni jina la kutaja mkoa uliopo mjini magharibi mwa nchi ya Uturuki. Mikoa yake ya karibuni ni pamoja na İzmir kwa upande wa magharibi, Aydın kwa upande wa kusini, Denizli kwa upande wa kusini-mashariki mwa nchi, Uşak kwa upande wa mashariki, Kütahya kwa upande wa kaskazini-mashariki, na Balıkesir kwa upande wa kaskazini. Mji mkuu wa moani hapa ni Manisa.

Wilaya za mkoani hapa[hariri | hariri chanzo]

Mkoa wa Manisa umeganyika katika wilaya takriban 16 (mji mkuu umekoozeshwa):

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]