Manisa
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Manisa | |
| "The Weeping Rock", associated with the Anatolian princess Niobe, attends Manisa from the heights of the Mount Sipylus | |
| Nchi | Uturuki |
|---|---|
| Mkoa | Aegean |
| Jimbo | Manisa |
| Idadi ya wakazi (2007) | |
| - Mji | 1,319,920 |
| Tovuti: www.manisa.bel.tr | |
Manisa (Kiosmani Kituruki: ماغنيسا Manisa; Kigiriki: Μαγνησία, Kilatini: Magnesia) ni jiji kubwa la Uturuki katika Kanda ya Aegean na ndiyo mji mkuu wa Mkoa wa Manisa. Kihistoria, mji mpi ulikuwa ukiitwa Magnesia, na zaidi uliitwa Magnesia ad Sipylum, kwa kufuatia jina la Mlima Sipylus (Mount Spil) ambao unaangaza juu ya mji. Takriban watu 1,319,920 wanaishi mjini hapa.
Vyanzo [hariri]
- (Aprili 2007) Manisa 2007 484 p. ISBN 978-975-575-800-5 (in Turkish). Governorship of Manisa.
- George E. Bean. Aegean Turkey: An archaeological guide ISBN 978-0510032005, 1967. Ernest Benn, London.
- Rosie Ayliffe and co. (2003). The rough guide to Turkey p. 313 ISBN 1843530716. Rough Guides.
Viungo vya Nje [hariri]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
|
|||||||
| Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Manisa kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |