Kayseri

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Juu: Uwanja wa Kadir Has, wa pili kushoto: Sivas Avenue, 2 kulia: Sanamu ya Atatürk na kuta za jiji la Kayseri nyuma, 3: Tekin wilaya ya biashara na Oto Park, Chini kushoto: Kayseri Castle usiku, kulia chini: Kayseray.
Metropolitan ya Wilaya za Kayseri.

Kayseri ni mji uliopo katikati ya nchi ya Uturuki. Mji huu wa Kayseri umezoeleka kuitwa Mazaka au Kaisareia. Huu ni mji mkuu wa Mkoa wa Kayseri. Mji unakadiriwa kuwa na lundiko la watu takriban milioni 1. Mji upo mita 1,050 kutoka juu ya usawa wa bahari.

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Kayseri kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.