16 Mei

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Mei 16)
Apr - Mei - Jun
1 2 3 4 5 6 7
8 9 10 11 12 13 14
15 16 17 18 19 20 21
22 23 24 25 26 27 28
29 30 31
Kalenda ya Gregori

Tarehe 16 Mei ni siku ya 136 ya mwaka (ya 137 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 229.

Matukio[hariri | hariri chanzo]

Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]

Waliofariki[hariri | hariri chanzo]

Sikukuu[hariri | hariri chanzo]

Wakristo wengi, wakifuata mapokeo ya Roma, huadhimisha kumbukumbu za watakatifu Felisi na Genadi, Fiorensi na Dioklesyani, Abda na Ebediesi, Pelegrini wa Auxerre, Posidi, Fidoli, Brendan Baharia, Honorati wa Amiens, Karanogi, Wafiadini wa Mar Saba, Jermeri, Ubaldo wa Gubbio, Adamu wa Fermo, Andrea Bobola n.k.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu 16 Mei kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.