Karanogi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu yake huko Llangrannog, Welisi.

Karanoki (pia: Carannog, Cairnech, Carnech, Karanteg, Carantocus, Carantoc, Carantock; aliishi karne ya 6) alikuwa mmonaki halafu abati wa Britania anayetajwa kama mwanzilishi wa monasteri[1][2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 16 Mei[3][4].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Life of Saint Carannog, translated in "Lives of the Cambro British saints," p. 396ff , 1853, Rev. William Jenkins Rees
  2. http://www.santiebeati.it/dettaglio/53460
  3. Martyrologium Romanum
  4. (Kigiriki) Ὁ Ὅσιος Καραντόκιος. 16 Μαΐου. ΜΕΓΑΣ ΣΥΝΑΞΑΡΙΣΤΗΣ.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.