Wafiadini wa Mar Saba (16 Mei)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Monasteri ya Mar Saba kutoka juu.

Wafiadini wa Mar Saba (walifia dini katika monasteri ya Mar Saba, leo nchini Palestina, 614) walikuwa wamonaki Wakristo 44 waliokatwa vipandevipande kwa ajili ya imani yao wakati wa uvamizi wa Waislamu[1].

Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 16 Mei[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.