Wikipedia ya Kihispania : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Minor fix using AWB
d r2.6.5) (Roboti: Imeongeza hr:Wikipedija na španjolskom jeziku
Mstari 58: Mstari 58:
[[fr:Wikipédia en espagnol]]
[[fr:Wikipédia en espagnol]]
[[hi:स्पेनी विकिपीडिया]]
[[hi:स्पेनी विकिपीडिया]]
[[hr:Wikipedija na španjolskom jeziku]]
[[hu:Spanyol Wikipédia]]
[[hu:Spanyol Wikipédia]]
[[id:Wikipedia bahasa Spanyol]]
[[id:Wikipedia bahasa Spanyol]]

Pitio la 17:20, 18 Februari 2013

Favicon of Wikipedia Wikipedia ya Hispania

Wikipedia ya Kihispania (Kihispania: Wikipedia en Español) ni toleo la kamusi elezo ya Wikipedia kwa lugha ya Kihispania. Ilianzishwa mnamo mwezi Mei, 2001. Mnamo tar. 8 Machi ya mwaka wa 2006, Wikipedia ya Kihispania imefikisha makala 100,000.

Kwa sasa, ni Wikipedia ya 9 kwa ukubwa kwa hesabu ya makala, inafuatiwa na Wikipedia ya Kisweden mnamo mwezi Aprili 2007. Zamani ilikuwa Wikipedia ya 8 kwa ukubwa, hadi ilipofika mwezi wa Mei mwaka 2005 ikapitwa na Wikipedia ya Kireno kisha Wikipedia ya Kiitalia kunako mwezi wa Agosti 2005. Mnamo tar. 18 Novemba 2007, Wikipedia ya Kihispania imefikisha makala 300,000.

Tazama pia

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mambo ya elimu bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Wikipedia ya Kihispania kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.