Kitabu cha Mhubiri : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 19: Mstari 19:


Maendeleo hayo yataweka wazi kwamba [[hukumu]] itafanyika baada ya [[kifo]], na kwamba [[tuzo]] na [[]]adhabu vitatolewa kwa haki katika [[uzima wa milele]].
Maendeleo hayo yataweka wazi kwamba [[hukumu]] itafanyika baada ya [[kifo]], na kwamba [[tuzo]] na [[]]adhabu vitatolewa kwa haki katika [[uzima wa milele]].

==Tanbihi==
{{Reflist}}

==Marejeo==
*{{cite book
| last = Bartholomew
| first = Craig
| year = 2009
| title = Ecclesiastes
| publisher = Baker Academic Press
| url = https://books.google.com/books?id=eUmGgMNX8-cC&printsec=frontcover
| ref = harv
| isbn = 9780801026911
}}
*{{cite book
| last = Brettler
| first = Mark Zvi
| year = 2007
| chapter = The Poetical and Wisdom Books
| editor1-last = Coogan
| editor1-first = Michael D.
| title = The New Oxford Annotated Bible (3rd ed.)
| publisher = Oxford University Press
| url = https://books.google.com/?id=Nc-i_pQsiW8C&pg=PA721&dq=Coogan+Ecclesiastes+Oxford+Annotated+Bible#v=onepage&q=Coogan%20Ecclesiastes%20Oxford%20Annotated%20Bible&f=false
| ref = harv
| isbn = 9780195288803
}}
*{{cite book
| last = Brown
| first = William P.
| year = 2011
| title = Ecclesiastes: Interpretation: A Bible Commentary for Teaching and Preaching
| publisher = Westminster John Knox Press
| url = https://books.google.com/?id=CkoAH9UpUUoC&printsec=frontcover&dq=Ecclesiastes:+Interpretation:+A+Bible+Commentary+for+Teaching+and+Preaching
| ref = harv
| isbn = 9780664238247
}}
*{{cite book
| last = Christianson
| first = Eric S.
| year = 2007
| title = Ecclesiastes Through the Centuries
| publisher = [[Wiley-Blackwell]]
| url = https://books.google.com/?id=HSoRKaeLCk0C&pg=PA70
| ref = harv
| isbn = 9780631225294
}}
*{{cite book
| last = Coogan
| first = Michael D.
| year = 2008
| title = The Old Testament: A Very Short Introduction
| publisher = Oxford University Press
| url = https://books.google.com/books?id=roDHlzkM6EsC&printsec=frontcover
| ref = harv
| isbn = 9780199719464
}}
*{{cite book
| last = Diderot
| first = Denis
| year = 1752
| title = Canon
| url = http://hdl.handle.net/2027/spo.did2222.0000.566
| ref = harv
}}
*{{cite book
| last = Eaton
| first = Michael
| year = 2009
| title = Ecclesiastes
| publisher = IVP Academic
| url = http://isbndb.com/d/book/ecclesiastes_an_introduction_and_commentary.html
| ref = harv
}}
*{{cite book
| last = Enns
| first = Peter
| year = 2011
| title = Ecclesiastes
| publisher = Eerdmans
| url = https://books.google.com/?id=IC-9UYpr7QYC&printsec=frontcover
| ref = harv
| isbn = 9780802866493
}}
*{{cite book
| last = Fredricks
| first = D.C.
| year = 2010
| title = Ecclesiastes and Song of Songs
| publisher = IVP Academic
| url = http://www.ivpress.com/cgi-ivpress/book.pl/code=2515
| ref = harv
}}
*{{cite book
| last = Fox
| first = Michael V.
| year = 2004
| title = The JPS Bible Commentary: Ecclesiastes
| publisher = Jewish Publication Society
| url = https://books.google.com/?id=TX9DuDb9hgQC&printsec=frontcover&dq=commentary+ecclesiastes
| ref = harv
| isbn = 9780827609655
}}
*{{cite book
| last = Gilbert
| first = Christopher
| year = 2009
| title = A Complete Introduction to the Bible: A Literary and Historical Introduction to the Bible
| publisher = Paulist Press
| url = https://books.google.com/?id=HnfEGEdTJ20C&pg=PA124
| ref = harv
| isbn = 9780809145522
}}
*{{cite book
|last1 = Hecht
|first1 =Jennifer Michael
|title=Doubt: A History
|date=2003
|publisher=HarperCollins
|location=New York
|isbn = 978-0-06-009795-0
}}

*{{cite book
| last = Ingram
| first = Doug
| year = 2006
| title = Ambiguity in Ecclesiastes
| publisher = Continuum
| url = https://books.google.com/?id=p-ILhkALWDEC&printsec=frontcover#v=onepage&q&f=false
| ref = harv
}}
*{{cite book
| last = Krüger
| first = Thomas
| year = 2004
| title = Qohelet: A Commentary
| publisher = Fortress
| url = https://books.google.com/?id=INbYAAAAMAAJ&q=commentary+qohelet+hermeneia&dq=commentary+qohelet+hermeneia
| ref = harv
}}
*{{cite book
| last = Longman
| first = Tremper
| authorlink = Tremper Longman
| year = 1998
| title = The Book of Ecclesiastes
| publisher = Eerdmans
| url = https://books.google.com/?id=2YnSRZUSv2sC&printsec=frontcover
| ref = harv
| isbn = 9780802823663
}}
*{{cite book
| last = Miller
| first = Adam S.
| author-link = Adam S. Miller
| year = 2016
| title = Nothing Under the Sun
| publisher = CreateSpace
| ref =
| isbn = 978-1530872800
}}
*{{cite book
| last = Rudman
| first = Dominic
| year = 2001
| title = Determinism in the Book of Ecclesiastes
| publisher = Sheffield Academic Press
| url = https://books.google.com/?id=PrFMYoYwhjEC&pg=PA3#v=onepage&q&f=false
| ref = harv
| isbn = 9780567215635
}}
*{{cite book
| last = Seow
| first = C.L.
| year = 2007
| chapter = Ecclesiastes
| editor1-last = Coogan
| editor1-first = Michael D.
| title = The New Oxford Annotated Bible (3rd ed.)
| publisher = Oxford University Press
| url = https://books.google.com/?id=Nc-i_pQsiW8C&pg=PA944&dq=Ecclesiastes#v=onepage&q=Ecclesiastes&f=false
| ref = harv
| isbn = 9780195288803
}}
*{{cite book
| last = Shields
| first = Martin A.
| year = 2006
| title = The End of Wisdom: A Reappraisal of the Historical and Canonical Function of Ecclesiastes
| publisher = [[Eisenbrauns]]
| url = https://books.google.com/?id=YIpUQpqWn1QC&pg=PA2
| ref = harv
| isbn = 9781575061023
}}
*{{cite book
| last = Smith
| first = James
| year = 1996
| title = The Wisdom Literature and Psalms
| publisher = College Press
| ref = harv
| isbn = 9780899004396
}}

==Marejeo mengine==
*Ranston, Harry (1925). ''Ecclesiastes and the Early Greek Wisdom Literature''. First ed. Epworth Press.
*Shapiro, Rabbi Rami Translation & Annotation, Foreword by Rev. Barbara Cawthrone Crafton (2010). ''Ecclesiastes Annotated & Explained''. Skylight Paths Publishing


==Viungo vya nje==
==Viungo vya nje==
{{Wikisource|Ecclesiastes (Bible)}}
{{Wikiquote}}
{{Commons category|Book of Ecclesiastes}}
*[http://www.biblephone.net/mobile/index.php/swa/2/Eccles/ Kitabu cha Mhubiri katika [[tafsiri]] ya [[Kiswahili]] (Union Version)]
*[http://www.biblephone.net/mobile/index.php/swa/2/Eccles/ Kitabu cha Mhubiri katika [[tafsiri]] ya [[Kiswahili]] (Union Version)]
*[https://www.jw.org/sw/machapisho/biblia/nwt/vitabu/mhubiri/ Kitabu cha Mhubiri katika [[Tafsiri ya Ulimwengu Mpya]]]
*[https://www.jw.org/sw/machapisho/biblia/nwt/vitabu/mhubiri/ Kitabu cha Mhubiri katika [[Tafsiri ya Ulimwengu Mpya]]]
*[https://www.jw.org/sw/machapisho/video/utangulizi-wa-biblia/kitabu-cha-mhubiri/ Utangulizi wa Mhubiri kadiri ya [[Mashahidi wa Yehova]]]
*[https://www.jw.org/sw/machapisho/video/utangulizi-wa-biblia/kitabu-cha-mhubiri/ Utangulizi wa Mhubiri kadiri ya [[Mashahidi wa Yehova]]]
{{Biblia AK}}


;Tafsiri za Kiingereza
* [http://www.chabad.org/library/archive/LibraryArchive2.asp?AID=15779 Kohelet – Ecclesiastes (Judaica Press)] translation [with [[Rashi]]'s commentary] at Chabad.org
* [http://bible.oremus.org/?passage=Ecclesiastes Ecclesiastes: New Revised Standard Version]
* [http://www.drbo.org/chapter/23001.htm Ecclesiastes: Douay Rheims Bible Version]
* [[s:Bible, King James, Ecclesiastes|''Ecclesiastes'' at Wikisource]] (Authorised King James Version)
* [http://www.usccb.org/nab/bible/#ecclesiastes ''Ecclesiastes'' at United States Conference of Catholic Bishops] (New American Bible)
* [http://www.biblegateway.com/passage/?book_id=25&chapter=1&version=50 ''Ecclesiastes'' at Bible Gateway] (New King James Version)
* [https://web.archive.org/web/20070819103327/http://catholic-forum.com/saints/stg40003.htm ''A Metaphrase of the Book Of Ecclesiastes''] by [[Gregory Thaumaturgus]].
* [http://www.vts.edu/ftpimages/95/download/FM.Jones.Ecclesiastes.pdf ''Introduction to Ecclesiastes''] a [[Forward Movement]] publication

{{Biblia AK}}
{{mbegu-Biblia}}
{{DEFAULTSORT:Mhubiri}}
{{DEFAULTSORT:Mhubiri}}
[[Category:Vitabu vya Agano la Kale]]
[[Category:Vitabu vya Agano la Kale]]

Pitio la 12:08, 26 Oktoba 2018

Mhubiri (pia: Koheleti) ni kimojawapo kati ya vitabu vya hekima vilivyomo katika Tanakh (Biblia ya Kiebrania) na hivyo pia katika Agano la Kale la Biblia ya Kikristo. Kwa sababu hiyo kilidhaniwa kimeandikwa na mfalme Solomoni, kielelezo cha hekima katika Biblia.

Kitabu hicho kina sura kumi na mbili na kwa kiasi kikubwa kimeandikwa kwa njia ya ushairi.

Jina

Katika lugha ya Kiebrania jina lake ni קֹהֶלֶת (Qohelet), maana yake "Mhadhiri": ndivyo anavyojiita mwandishi, ambaye hajulikani kwa jina.

Mada

Yeye anakabili masuala ya maisha kwa kuzingatia upande chanya na upande hasi wa kila moja ili kufikia hekima.

Hasa anajiuliza juu ya maana ya maadili wakati ufunuo wa Mungu ulikuwa haujafikia hatua ya kufundisha uzima wa milele na maisha yalikuwa yanaonyesha mara nyingi ustawi wa waovu na hali ngumu ya waadilifu.

Mbele ya utovu wa haki duniani, Mhubiri alikariri, "Ubatili mtupu, ubatili mtupu, mambo yote ni ubatili" (1:2).

Hata hivyo, hatimaye akajumlisha mawazo yake kwa kuhimiza kwa imani, "Mche Mungu, nawe uzishike amri zake, maana kwa jumla ndiyo impasayo mtu. Kwa maana Mungu ataleta hukumuni kila kazi, pamoja na kila neno la siri, likiwa jema au likiwa baya" (12:13-14).

Ufafanuzi

Kama vitabu vingine vyote vya Biblia, hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa historia ya wokovu ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya ufunuo wa Mungu kwa binadamu.

Maendeleo hayo yataweka wazi kwamba hukumu itafanyika baada ya kifo, na kwamba tuzo na [[]]adhabu vitatolewa kwa haki katika uzima wa milele.

Tanbihi

Marejeo

Marejeo mengine

  • Ranston, Harry (1925). Ecclesiastes and the Early Greek Wisdom Literature. First ed. Epworth Press.
  • Shapiro, Rabbi Rami Translation & Annotation, Foreword by Rev. Barbara Cawthrone Crafton (2010). Ecclesiastes Annotated & Explained. Skylight Paths Publishing

Viungo vya nje

Wikiquote ina mkusanyiko wa dondoo kuhusu:
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Tafsiri za Kiingereza
Vitabu vya Agano la Kale

Mwanzo * Kutoka * Walawi * Hesabu * Kumbukumbu * Yoshua * Waamuzi * Ruthu * Samueli I * Samueli II * Wafalme I * Wafalme II * Mambo ya Nyakati I * Mambo ya Nyakati II * Ezra * Nehemia * TobitiDK * YudithiDK * Esta * Wamakabayo IDK * Wamakabayo IIDK * Yobu * Zaburi * Methali * Mhubiri * Hekima DK * SiraDK * Wimbo Bora * Isaya * Yeremia * Maombolezo * BarukuDK * Ezekieli * Danieli * Hosea * Yoeli * Amosi * Obadia * Yona * Mika * Nahumu * Habakuki * Sefania * Hagai * Zekaria * Malaki

Alama ya DK inaonyesha vitabu vya deuterokanoni visivyopatikana katika matoleo yote ya Biblia.

Makala hii kuhusu mambo ya Biblia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kitabu cha Mhubiri kama historia yake au athari wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.