Mambo ya Nyakati I

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kitabu cha Mambo ya Nyakati cha Tanakh (yaani Biblia ya Kiebrania) kimegawanywa sehemu mbili katika Biblia ya Kikristo na kupangwa kati ya vitabu vya historia.

Sehemu ya kwanza inaitwa Kitabu cha kwanza cha Mambo ya Nyakati kikiishia na kifo cha mfalme Daudi.

Kama vitabu vingine vyote vya Biblia, hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa historia ya wokovu ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya ufunuo wa Mungu kwa binadamu.

Muhtasari wa Kitabu cha kwanza cha Mambo ya Nyakati[hariri | hariri chanzo]

1:1-9:34 Orodha za vizazi (nasaba) vya makabila ya Israeli

9:35-22:1 Utawala wa Daudi

22:2-29:30 Maandalizi kwa hekalu


Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Vitabu vya Agano la Kale

Mwanzo * Kutoka * Walawi * Hesabu * Kumbukumbu * Yoshua * Waamuzi * Ruthu * Samueli I * Samueli II * Wafalme I * Wafalme II * Mambo ya Nyakati I * Mambo ya Nyakati II * Ezra * Nehemia * TobitiDK * YudithiDK * Esta * Wamakabayo IDK * Wamakabayo IIDK * Yobu * Zaburi * Methali * Mhubiri * Hekima DK * SiraDK * Wimbo Bora * Isaya * Yeremia * Maombolezo * BarukuDK * Ezekieli * Danieli * Hosea * Yoeli * Amosi * Obadia * Yona * Mika * Nahumu * Habakuki * Sefania * Hagai * Zekaria * Malaki

Alama ya DK inaonyesha vitabu vya deuterokanoni visivyopatikana katika matoleo yote ya Biblia.

Makala hii kuhusu mambo ya Biblia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mambo ya Nyakati I kama historia yake au athari wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.