3 Januari

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Januari 3)
Des - Januari - Feb
1 2 3 4 5 6 7
8 9 10 11 12 13 14
15 16 17 18 19 20 21
22 23 24 25 26 27 28
29 30 31
Kalenda ya Gregori

Tarehe 3 Januari ni siku ya tatu ya mwaka. Mpaka uishe zinabaki siku 362 (363 katika miaka mirefu).

Matukio[hariri | hariri chanzo]

Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]

Waliofariki[hariri | hariri chanzo]

Sikukuu[hariri | hariri chanzo]

Wakristo wengi, wakifuata mapokeo ya Roma, huadhimisha kumbukumbu ya Jina takatifu la Yesu, lakini pia za watakatifu Papa Antero, Teopempto na Teona, Gordio wa Kaisarea, Danieli wa Padua, Teojene wa Pario, Fiorenso wa Vienne, Genoveva wa Nanterre, Lusiano wa Lentini, Kuriakose Elias Chavara n.k.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu 3 Januari kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.