Genoveva wa Nanterre

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu yake.

Genoveva wa Nanterre (kwa Kifaransa: Geneviève; Nanterre, 411/416 - Paris, 3 Januari 512) alikuwa mtawa wa Ufaransa wa leo.

Alipokuwa na umri wa miaka 15, kwa shauri la Jermano askofu wa Auxerre, alijiweka wakfu kwa Mungu. Baadaye alifariji wakazi wa mji huo waliohofu uvamizi wa Wahunni, akawasaidia wakati wa njaa[1].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu bikira.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 3 Januari[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Martyrologium Romanum
  2. Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.