Kuriakose Elias Chavara

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Kuriakose Elias Chavara wa Familia Takatifu.

Kuriakose Elias Chavara (10 Februari 1805 - 3 Januari 1871) alikuwa padri wa Kanisa Katoliki la Kisiria la Malabar nchini India.

Alianzisha mashirika ya kitawa, moja kwa ajili ya wanaume na lingine kwa ajili ya wanawake.

Papa Yohane Paulo II alimtangaza kuwa mwenye heri tarehe 8 Februari 1986, halafu Papa Fransisko akamtangaza mtakatifu tarehe 23 Novemba 2014.

Sikukuu yake ni 3 Januari[1].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.