Hifadhi ya Taifa ya Aberdare

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Hifadhi ya Taifa ya Aberdare

Hifadhi ya Taifa ya Aberdare ina latitudo ya mita 1829 hadi 4001 juu ya usawa wa bahari na iko katika ardhi kati ya kusini-magharibi kwa Mlima Kenya (Kaunti ya Nyandarua na Kaunti ya Nyeri).

Sehemu ya kuingia katika Hifadhi ya taifa ya Aberdare

Ilianzishwa rasmi mnamo Mei 1950 kama hifadhi ya misitu ya nchi. Hifadhi ina hewa safi iliyo tulivu na yenye mazingira murua na mvua kubwa inayonyesha mara kwa mara ndani ya mwaka mzima.