Paka Dhahabu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Paka dhahabu
Mchoro wa paka dhahabu (Profelis aurata)
Mchoro wa paka dhahabu (Profelis aurata)
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Mammalia (Wanyama wenye viwele)
Oda: Carnivora (Wanyama mbua)
Nusuoda: Feliformia (Wanyama kama paka)
Familia: Felidae (Wanyama walio na mnasaba na paka)
Nusufamilia: Felinae (Wanyama wanaofanana na paka)
Jenasi: Profelis
Severtzov, 1858
Spishi: P. aurata
(Temminck, 1827)
Kijani: Msambao wa paka dhahabu Kahawia: Msambao uwezekanao au kuonekana kwa ajali
Kijani: Msambao wa paka dhahabu
Kahawia: Msambao uwezekanao au kuonekana kwa ajali

Paka dhahabu, paka dhahabu wa Afrika au paka-msitu (Profelis aurata) ni mnyama mbuai wa nusufamilia Felinae katika familia Felidae.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mnyama fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Paka Dhahabu kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.