Bustani

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Bustani ya Stourhead inapendeza hata bila maua.

Bustani ni eneo lililotengenezwa nje ya nyumba au jengo lingine kwa kupanda miti, majani na maua ili kulipendezesha na kulifurahia wakati wa kupumzika.

Pengine bustani linapandwa pia mimea kwa ajili ya mboga au matunda.

Tena kuna bustani ya wanyama ambao wanatunzwa ili watu waweze kuwaona kwa urahisi.

Bustani zilianzishwa zamani za kale.

Picha[hariri | hariri chanzo]

Bustani ya Taj Mahal, India
Bustani za Reggia di Caserta, Italia
Bustani ya Chehel Sotoun, Isfahan, Iran
Bustani ya kanisa kuu la Monreale, Sicilia, Italia
Bustani za Butchart, Victoria, British Columbia
Bustani za Versailles (Ufaransa)
Bustani za Umaid Bhawan Palace, Jodhpur, India
Bustani ya Villa d'Este, Italia
Bustani za Colonial Williamsburg, Williamsburg, Virginia
Bustani ya Shitennō-ji, Osaka, Japan
Makala hii kuhusu mambo ya utamaduni bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Bustani kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Wikimedia Commons ina media kuhusu: