Nenda kwa yaliyomo

Helena, Montana

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Helena
Nchi Marekani
Jimbo Montana
Wilaya Lewis and Clark
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 25,780
Tovuti:  www.ci.helena.mt.us
Jumba la bunge la kijimbo mjini Helena
Helena, Montana

Helena ni mji mkuu wa jimbo la Montana nchini Marekani.

Idadi ya wakazi ni mnamo 25,780 (sensa 2000) na pamoja na maeneo jirani ni watu 67,636.

Historia

[hariri | hariri chanzo]

Helena ilikuwa na majina mbalimbali katika historia yake. Mji uliundwa mwaka 1864 baada ya kugunduliwa kwa dhahabu mtoni. Jina la kwanza la mji ulikuwa "Crabtown" kufuatana na John Crab aliyekuwa kati ya waanzilishaji wake. Baadaye jina likabadilishwa kuwa Pumpkinville halafu Squashtown.

Mwishowe jina jipya likatafutwa wakafuata pendekezo la "Saint Helena" wakaifupisha kuwa Helena.

Majimbo na maeneo ya Marekani
Majimbo ya Marekani
Alabama Alaska Arizona Arkansas California Colorado Connecticut Delaware Florida Georgia Hawaii Idaho Illinois Indiana Iowa Kansas Kentucky Louisiana Maine Maryland Massachusetts Michigan Minnesota Mississippi Missouri Montana Nebraska Nevada New Hampshire New Jersey New Mexico New York North Carolina North Dakota Ohio Oklahoma Oregon Pennsylvania Rhode Island South Carolina South Dakota Tennessee Texas Utah Vermont Virginia Washington West Virginia Wisconsin Wyoming
Mkoa wa Mji Mkuu
Mkoa wa Columbia (Washington D.C.)
Visiwa vya ng'ambo
Katika Pasifiki: Samoa ya Marekani Visiwa vya Mariana ya Kaskazini Guam Katika Karibi: Puerto Rico Visiwa vya Virgin vya Marekani Visiwa vidogo sana vya Pasifiki: Kisiwa cha Howland Kisiwa cha Jarvis Atolli ya Johnston Kingman Reef Atolli ya Midway Kisiwa cha Baker Atolli ya Palmyra Kisiwa cha Wake Kisiwa kidogo cha Karibi: Kisiwa cha Navassa
Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Helena, Montana kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.