Tuzo ya Pulitzer ya Tamthiliya

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Tuzo ya Pulitzer ya Tamthiliya ni aina moja ya Tuzo za Pulitzer ambazo hutolewa kila mwaka nchini Marekani. Ni miongoni mwa aina za asili zilizotolewa kuanzia 1917, na hutolewa kumheshimu mwandishi Mwarekani aliyeandika tamthiliya hodari katika mwaka uliopita.

Kuanzia 1983, wagombea watatu wa mwisho walikuwa hutangazwa, yaani mshindi mkuu pamoja na mshindi wa pili na wa tatu.

Washindi[hariri | hariri chanzo]

Katika miaka 97 hadi 2013, Tuzo ya Tamthiliya ilitolewa mara 82; hakuwa na tuzo katika miaka kumi na mitano. Waandishi mbalimbali wametuzwa Tuzo hiyo zaidi ya mara moja:

Miaka ya 1910[hariri | hariri chanzo]

Miaka ya 1920[hariri | hariri chanzo]

Miaka ya 1930[hariri | hariri chanzo]

Miaka ya 1940[hariri | hariri chanzo]

Miaka ya 1950[hariri | hariri chanzo]

Miaka ya 1960[hariri | hariri chanzo]

Miaka ya 1970[hariri | hariri chanzo]

Miaka ya 1980[hariri | hariri chanzo]

Miaka ya 1990[hariri | hariri chanzo]

Miaka ya 2000[hariri | hariri chanzo]

Miaka ya 2010[hariri | hariri chanzo]