Mkoa wa Pwani : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
dNo edit summary
No edit summary
Mstari 21: Mstari 21:
[[Category:Mikoa ya Tanzania]]
[[Category:Mikoa ya Tanzania]]
{{Mikoa ya Tanzania}}
{{Mikoa ya Tanzania}}
[[en:Pwani Region]]
[[ja:プワニ州]]

Pitio la 10:13, 1 Mei 2006

Mkoa wa Pwani katika Tanzania
Mkoa wa Pwani katika Tanzania

Moa wa Pwani ni kati ya mikoa 26 za Tanzania. Makao makuu ya mkoa ndipo Kibaha. Mkoa umepakana upande wa Kaskazini na Tanga, upande wa mashariki na Dar-es-Salaam na Bahari Hindi, upande wa kusini na mkoa wa Lindi na upande wa magharibi na mkoa wa Morogoro.

Eneo

Mkoa huu unalo eneo la 32,407 km², ukiwa na idadi ya watu wapatao 889,154, ukiwa ni mkoa wa pili nyuma ya mkoa wa Lindi kwa idadi ndogo ya watu katika Tanzania bara.

Wilaya

Wilaya za Mkoa wa Pwani

Mkoa wa Pwani una wilaya sita ndizo (idadi ya wakazi katika mabano): Bagamoyo (230,164), Kibaha (132,045), Kisarawe (95,614), Mkuranga (187,428), Rufiji (203,102) na Mafia (40,801).

Mkoa huu una jumla ya majimbo ya uchaguzi yanayofikia (7) ambayo yanajumuisha Bagamoyo, Chalinze, Kibaha, Kisarawe, Mafia, Mkuranga na Rufiji.

Wakazi

Idadi ya wakazi wa mkoa wa Pwani ni 889,154. (sensa 2002 [1]) Mkoa huu ambao wenyeji wake ni watu wa makabila ya Wakwere na Wazaramo ni maarufu sana kwa shughuli za kilimo na uvuvi, lakini pia mkoa huu ni maarufu sana kwa shughuli za kiutalii hususani katika mji wa Bagamoyo.

Viungo vya nje