Wikipedia ya Kihispania : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.1) (Roboti: Imeongeza map-bms:Wikipedia basa Spanyol
d Wikipedia-logo-v2-es.svg
Mstari 1: Mstari 1:
{{infobox Website
{{infobox Website
| name = [[Picha:Wikipedia-favicon.png|16px|Favicon of Wikipedia]] Wikipedia ya Hispania
| name = [[Picha:Wikipedia-favicon.png|16px|Favicon of Wikipedia]] Wikipedia ya Hispania
| logo = [[Picha:Wikipedia-logo-es.png]]
| logo = [[Picha:Wikipedia-logo-v2-es.svg]]
| screenshot = [[Picha:Spanish Wikipedia.png|250px|border]]
| screenshot = [[Picha:Spanish Wikipedia.png|250px|border]]
| maelezo ya picha = The [[Main Page]] of the Spanish Wikipedia.
| maelezo ya picha = The [[Main Page]] of the Spanish Wikipedia.

Pitio la 20:39, 5 Aprili 2012

Wikipedia ya Kihispania
Kisarahttp://es.wikipedia.org/
Ya kibiashara?Hapana
Aina ya tovutiMradi wa Kamusi Elezo ya Interneti
KujisajiriHiari
Lugha asiliaKihispania
MmilikiWikimedia Foundation

Wikipedia ya Kihispania (Kihispania: Wikipedia en Español) ni toleo la kamusi elezo ya Wikipedia kwa lugha ya Kihispania. Ilianzishwa mnamo mwezi Mei, 2001. Mnamo tar. 8 Machi ya mwaka wa 2006, Wikipedia ya Kihispania imefikisha makala 100,000.

Kwa sasa, ni Wikipedia ya 9 kwa ukubwa kwa hesabu ya makala, inafuatiwa na Wikipedia ya Kisweden mnamo mwezi Aprili, 2007. Zamani ilikuwa Wikipedia ya 8 kwa ukubwa, hadi ilipofika mwezi wa Mei mwaka 2005 ikapitwa na Wikipedia ya Kireno kisha Wikipedia ya Kiitalia kunako mwezi wa Agosti 2005. Mnamo tar. 18 Novemba, 2007, Wikipedia ya Kihispania imefikisha makala 300,000.

Tazama pia

Viungo vya Nje

Makala hii kuhusu mambo ya elimu bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Wikipedia ya Kihispania kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.