Nenda kwa yaliyomo

Mto Itare

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mto Itare unapatikana katika kaunti ya Bomet nchini Kenya. Ni tawimto la mto Awach ambao unaishia katika ziwa Viktoria, ukichangia hivyo mto Naili na hatimaye Bahari ya Kati.

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]