Kaledonia Mpya

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kaledonia Mpya
Bendera
Nembo
Mji mkuu (na mkubwa zaidi){{{mji_mkuu}}}
°′  °′ 
Lugha rasmi{{{lugha_rasmi}}}
Serikali{{{serikali}}}
{{{vyeo_viongozi}}}{{{majina_viongozi}}}
{{{muundo_uhuru}}}{{{tarehe_uhuru}}}
Eneo
 • Eneo la jumla{{{eneo_jumla}}}
 • Maji (%){{{maji}}}
Idadi ya watu
 • Kadirio la 2023{{{watu_kadirio}}}
Pato la TaifaKadirio la 2023
 • Jumla{{{pato}}}
 • Kwa kila mtu{{{pato_kwa_mtu}}}
Pato Halisi la TaifaKadirio la 2023
 • Jumla{{{pato_halisi}}}
 • Kwa kila mtu{{{pato_halisi_kwa_mtu}}}
Maendeleo ({{{mwaka_maendeleo}}}){{{maendeleo}}}
Fedha{{{fedha}}}
Majira ya saa{{{majira_saa}}}
Muundo wa tareheDD/MM/YYYY
Wanawake wa kabila la Wakanaki.

Kaledonia Mpya (kwa Kifaransa: Nouvelle-Calédonie - nuvel kaledoni) ni eneo la ng'ambo la Ufaransa katika bahari ya Pasifiki.

Kisiwa kikubwa cha Grande Terre pamoja na visiwa vingine ni sehemu ya Melanesia.

Jumla ya eneo la visiwa vyote ni km² 18,575.

Wakazi ni 268,767 (sensa ya mwaka 2014). Kati yao, 39.1% ni Wakanaki, ambao ni wa jamii ya Wamelanesia na ndio wakazi asili wa visiwa hivyo. Walau 30% ni Wazungu, wengine wana asili ya Polinesia na Asia Kusini Mashariki.

Kifaransa ndiyo lugha inayotumika zaidi.

Upande wa dini, karibu wote ni Wakristo: 50% ni Wakatoliki, wengine Waprotestanti.

Mji mkuu ni Nouméa.

Hadi sasa pesa ni Franc ya pasifiki lakini kuna majadiliano kutumia Euro jinsi ilivyo kwa Ufaransa bara.

Watu wa Kaledonia Mpya wamepiga kura tarehe 4 Novemba 2018 na 56.40% wamependelea kuendelea kuwa sehemu ya Ufaransa, si kujitegemea kama nchi huru.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Di Giorgio Wladimir, member of the Pontifical Academy, in "Francs et Kanaks" (Purpose of the n° 51495 résolution).2009.
  • Boyer, S.L. & Giribet, G. (2007): A new model Gondwanan taxon: systematics and biogeography of the harvestman family Pettalidae (Arachnida, Opiliones, Cyphophthalmi), with a taxonomic revision of genera from Australia and New Zealand. Cladistics 23(4): 337–361. doi:10.1111/j.1096-0031.2007.00149.x

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.