Nouméa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mahali pa Noumea kwenye kisiwa cha Grande Terre

Noumea (pia: Numea) ni mji mkuu wa Kaledonia Mpya (Kifaransa: Nouvelle-Calédonie - nuvel kaledoni) ambayo ni eneo la ng'ambo la Ufaransa katika bahari ya Pasifiki.

Mji ulianzishwa mwaka 1854 kwa jina la "Port-de-France" (Bandari ya Ufaransa) kwenye rasi ya kusini ya kisiwa cha Grande Terre. Idadi ya wakazi wake imefikia watu 91.000.

Uchumi wa Noumea hutegema utalii pamoja na migodi ya nikeli.

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Anwani ya kijiografia : 22°16'33"S, 66°27'29"E