Dondoo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Isha)
Dondoo
Dondoo-nyika (Raphicerus campestris)
Dondoo-nyika
(Raphicerus campestris)
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Mammalia (Wanyana wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)
Oda: Artiodactyla (Wanyama wenye vidole viwili au vinne mguuni)
Nusuoda: Ruminantia (Wanyama wanaocheua)
Familia: Bovidae (Wanyama walio na mnasaba na ng'ombe)
J. E. Gray, 1821
Nusufamilia: Antilopinae (Wanyama wanaofanana na swala)
Jenasi: Raphicerus (Dondoo)
C. H. Smith, 1827
Ngazi za chini

Spishi 3:

R. campestris Thunberg, 1811
R. melanotis Thunberg, 1811
R. sharpei Thomas, 1897

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Dondoo, dondoro au isha ni wanyamapori wadogo wa jenasi Raphicerus katika familia Bovidae wenye masikio makubwa. Wana rangi ya mchanga inayoelekea nyekundu na mara nyingi madoa au milima nyeupe. Madume wana pembe fupi na laini. Wanatokea Afrika ya Kusini na ya Mashariki katika maeneo mbalimbali kutoka ukanda wa jangwa mpaka vilima vyenye msitu wazi. Wanyama hawa hula majani, vitawi, mizizi na viazi.

Spishi[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mnyama fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Dondoo kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Ili kupata maelezo kuhusu masanduku ya uanapwa ya spishi angalia: Wikipedia:WikiProject Mammals/Article templates/doc.