Tohe

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Peleinae)
Tohe
Tohe ndope (Redunca redunca)
Tohe ndope
(Redunca redunca)
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Mamalia (Wanyana wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)
Oda: Artiodactyla (Wanyama wenye vidole viwili au vinne mguuni)
Nusuoda: Ruminantia (Wanyama wanaocheua)
Familia: Bovidae (Wanyama walio na mnasaba na ng'ombe)
J. E. Gray, 1821
Ngazi za chini

Nusufamilia 2, jenasi 2, spishi 4:

Tohe ni wanyamapori wa jenasi Pelea na Redunca katika familia Bovidae. Wana rangi ya mchanga au ya kijivu lakini tumbo ni jeupe. Madume ya Redunca wana pembe zilizopindika kuelekea mbele, wale wa Pelea wana pembe nyofu. Wanatokea mahali pa nyasi nzito karibu na maji au misitu milimani (tohe-milima na tohe pembe-nyofu). Wanyama hawa hula nyasi na matete.

Spishi[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mnyama fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Tohe kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Ili kupata maelezo kuhusu masanduku ya uanapwa ya spishi angalia: Wikipedia:WikiProject Mammals/Article templates/doc.