Antilopinae

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Antilopinae
Swala mweusi (Antilope cervicapra)
Swala mweusi
(Antilope cervicapra)
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Mamalia (Wanyana wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)
Oda: Artiodactyla (Wanyama wenye vidole viwili au vinne mguuni)
Nusuoda: Ruminantia (Wanyama wanaocheua)
Familia: Bovidae (Wanyama walio na mnasaba na ng'ombe)
J. E. Gray, 1821
Nusufamilia: Antilopinae (Wanyama wanaofanana na swala)
J. E. Gray, 1821
Ngazi za chini

Jenasi 15:

Ammodorcas Thomas, 1891
Antidorcas Sundevall, 1847
Antilope Pallas, 1766
Dorcatragus Noack, 1894
Eudorcas Fitzinger, 1869
Gazella de Blainville, 1816
Litocranius Kohl, 1886
Madoqua (Ogilby, 1837)
Nanger Lataste, 1885
Neotragus C. H. Smith, 1827
Oreotragus A. Smith, 1834
Ourebia Laurillard, 1842
Procapra Hodgson, 1846
Raphicerus C. H. Smith, 1827
Saiga J. E. Gray, 1843

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Antilopinae ni nusufamilia kubwa katika familia Bovidae. Spishi zake zinafanana na swala. Nusufamilia hii ina jenasi 15 ndani yake:

Picha[hariri | hariri chanzo]

Ili kupata maelezo kuhusu masanduku ya uanapwa ya spishi angalia: Wikipedia:WikiProject Mammals/Article templates/doc.