Antilopinae
Antilopinae | ||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Swala mweusi
(Antilope cervicapra) | ||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||
| ||||||||||||||
Ngazi za chini | ||||||||||||||
Jenasi 15:
|
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Antilopinae ni nusufamilia kubwa katika familia Bovidae. Spishi zake zinafanana na swala. Nusufamilia hii ina jenasi 15 ndani yake:
- Ammodorcas (Swala)
- Antidorcas (Swala)
- Antilope (Swala)
- Dorcatragus (Swala)
- Eudorcas (Swala)
- Gazella (Swala)
- Litocranius (Swala)
- Madoqua (Digidigi)
- Nanger (Swala)
- Neotragus (Suni)
- Oreotragus (Ngurunguru)
- Ourebia (Taya)
- Procapra (Swala)
- Raphicerus (Dondoo)
- Saiga (Swala)
Picha[hariri | hariri chanzo]
Ili kupata maelezo kuhusu masanduku ya uanapwa ya spishi angalia: Wikipedia:WikiProject Mammals/Article templates/doc.