Majadiliano ya mtumiaji:ChriKo : Tofauti kati ya masahihisho

Yaliyomo ya ukurasa hayatumiki katika lugha nyingine.
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Fasiri
Mstari 405: Mstari 405:
::Asante kwa maelezo. makala iliyotafutwa hasa ilikuwa kuhusu '''Aloe vera.''' Hapa sioni tatizo kutumia jina hili la Kilatini maana inatumiwa kwa Kiswahili siku hizi. ila tu kwa maelezo sawa tutumie mshubiri kwa jenasi '''Aloe'''. Kuhsu succulentes sina upendeleo wowote ila ti swali: je "mmea mwenye '''majani''' manono" ni kweli tunachotaka? Si mtaalamu lakini nikiangalia maelezo mimea hii inatunza maji mara nyingi kwenye majani, lakini mengine pia katika shina. Nimeelewa vema? Sasa kama tunatumia lugha inayotaja majani pekee - je tunaweza kuingiza pia mimea inayotunza maji shinani? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:28, 30 Novemba 2014 (UTC)
::Asante kwa maelezo. makala iliyotafutwa hasa ilikuwa kuhusu '''Aloe vera.''' Hapa sioni tatizo kutumia jina hili la Kilatini maana inatumiwa kwa Kiswahili siku hizi. ila tu kwa maelezo sawa tutumie mshubiri kwa jenasi '''Aloe'''. Kuhsu succulentes sina upendeleo wowote ila ti swali: je "mmea mwenye '''majani''' manono" ni kweli tunachotaka? Si mtaalamu lakini nikiangalia maelezo mimea hii inatunza maji mara nyingi kwenye majani, lakini mengine pia katika shina. Nimeelewa vema? Sasa kama tunatumia lugha inayotaja majani pekee - je tunaweza kuingiza pia mimea inayotunza maji shinani? '''[[Mtumiaji:Kipala|Kipala]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Kipala|majadiliano]])''' 17:28, 30 Novemba 2014 (UTC)
:::Ndiyo, "Aloe vera" inaweza kuwa kichwa cha makala. Kuhusu "succulents", ukitaka kutumia uhakika kwamba mimea hii ina utomvu mwingi katika majani na mashina, basi sema "mimea wenye utomvu mwingi". Lakini kwa mtazamo mwangu, hakuna tafsiri fupi ambaye inajulisha maana yake kabisa. Kwa hivyo ninapendekeza kuswahilisha (kuna neno kama hili?) istilahi hii: "sukulenti". Maneno mengi yameswahilishwa. '''[[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:ChriKo#top|majadiliano]])''' 18:14, 30 Novemba 2014 (UTC)
:::Ndiyo, "Aloe vera" inaweza kuwa kichwa cha makala. Kuhusu "succulents", ukitaka kutumia uhakika kwamba mimea hii ina utomvu mwingi katika majani na mashina, basi sema "mimea wenye utomvu mwingi". Lakini kwa mtazamo mwangu, hakuna tafsiri fupi ambaye inajulisha maana yake kabisa. Kwa hivyo ninapendekeza kuswahilisha (kuna neno kama hili?) istilahi hii: "sukulenti". Maneno mengi yameswahilishwa. '''[[Mtumiaji:ChriKo|ChriKo]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:ChriKo#top|majadiliano]])''' 18:14, 30 Novemba 2014 (UTC)
::::Labda "sukyulenti"? Silabi "kyu" ni adimu sana katika Kiswahili, lakini neno lingine lililo na silabi hayo ni neno lililoswahilishwa pia "molekyuli". '''[[Mtumiaji:Rberetta|Rberetta]] ([[Majadiliano ya mtumiaji:Rberetta|majadiliano]])''' 18:45, 30 Novemba 2014 (UTC)

Pitio la 18:45, 30 Novemba 2014

Hongera ya makala ya Uholanzi. Kuna msaada mmoja: sanduku la habari za nchi - njia rahisi ni kuinakili kutoka en.wikipedia (nakili katika hali ya "edit" ) na kuibandika tu kwa sw.wiki. Halafu ukibonyeza "Mandhari ya mabadilisho" utaona ya kwamba sehemu kubwa ni Kiswahili tayari. Unatafsiri maneno machache tu. Matt ameandaa templeti hii, mimi naona ni msaada mkubwa - --Kipala 19:20, 25 May 2006 (UTC)

Kweli, ni rahisi sana. ChriKo 12:53, 26 May 2006 (UTC)

Hongera kwa makala ya yule ndege ( Muddyb Blast )

Kimtazamo unaonekana umezama sana kiwikipedia, mimi binafsi nimependezewa sana ile Template ulioitumia kwenye makala ya kuelezea majopu ya ndege, ni mda mrefu sana nilikuwa nikiona zile Template kwenye wikipdeia ya kingereza lakini nikijaribu kunakili zile Template zinakuwa lemavu yaani hazina uwezo kuonekana katika sw.wiki hivyo juhudi zangu zikagonga mwamba kwa upande wa zile Template nikawa nasubiria siku nimfahamishe bwana kipala kuhusiana na ile Template kwa bahti nzuri nikiwa naangalia zile kurasa mpya katika Special Pages nikaona kurasa yako inayohusu ndege hivyo mpango wangu utafanikiwa Hongrea bwana chriko na kila lakheri katika maisha yako huko uliko Ahksante.

--Muddyb Producer 07:09, 6 Septemba 2007 (UTC)Muddyb Blast Producer

Aksante Bwana ChriKo

Habari yako ndugu ChriKo, natumai humzima wa afya pole nakazi. kwanza ahsante kwa jibu la haraka ulionigea kuhusiana na ile Template nilkuwa na mpango wa kujaribu tena nikishindwa nitamtafuta ndugu marco kwa msaada zaidi, hata hivyo nilijitahidi mpaka kuiona zile html zake na kujaribu kuhariri baadhi yake ikakubali baadhi zikakataa na pia nashukuru kwa jibu lako la haraka kazi njema na tuendelee hivi hivi kuchangia Wikipedia. --Muddyb Producer 11:06, 7 Septemba 2007 (UTC)Muddyb Blast Producer

Okapi

Nimetunga makala nilipoona habari za BBC [[1]]. Naomba uangelie jinsi nilivyojaza sanduku ya uainishaji kama ni sawa. --Kipala 15:17, 10 Juni 2006 (UTC)[jibu]

Mwarobaini

Salaam, nimejaribu kutunga sanduku la uainishaji kwa makala ya Mwarobaini - naomba uangalie na kusahihisha. --Kipala 13:18, 25 Juni 2006 (UTC) Ukipata nafasi - naomba angalia pia Biolojia; nilikuwa nimechoka mito na miji halafu ilikuwa kama pengo kwenye ukurasa wa Mwanzo. --Kipala 16:14, 25 Juni 2006 (UTC) (Pole, nimesafiri, niko Senegal sasa. Nikirudi nitaangalia kurasa hizi. ChriKo 13:00, 30 Juni 2006 (UTC))[jibu]

Nimesahau kusema: Asante! --Kipala 20:00, 13 Julai 2006 (UTC)[jibu]

Congratutalions, and some questions

Hi ChriKo. I hope you understand English. Congratulations with the 1000 articles in Swahili! It's just great! It's probably the first encyclopedia in an original African language with more than 1000 articles, or?

I have been involved in Wikipedias in several other African languages, such as Bambara. I will be speaking about the Wikipedias I have been involved in. And I would be grateful if you could answer some questions. Also, any other remarks are welcome.

1. Where are you from? Where did you learn Swahili?

2. When did you hear about Wikipedia? And when about the Swahili Wikipedia? When did you start to contribute?

3. What do you think about the future of this project?

thanks, Guaka 20:37, 3 Agosti 2006 (UTC)[jibu]

Hi Guaka, thanks for the congrats, which I will have to share with the other regular contributors. It's indeed wonderful that the Swahili Wikipedia has breached the 1000 mark. It could well be the first in an African language, I have not checked. Reading your questions, I am again reminded that it is high time I introduced myself on the various Wikipedias to which I contribute. My answers to your questions are a start:
1. I was born in the Netherlands like yourself but left the country after my studies at Wageningen University in 1979. I have been back only occasionally since then. I learned Swahili in Kenya during a study period in 1976/7. Later, I have lived and worked in that country twice for a total of more than 10 years. I have regularly visited Tanzania as well. In addition, I have lived in Niger, Nigeria and Sudan, and travelled extensively throughout the continent. Though I now work in Benin, my Kenyan wife still lives in the highland town of Nanyuki where I visit her twice a year.
2. I learned about Wikipedia in 2004 and it did not take me long to discover the Swahili one. I started to contribute last year.
3. I assume that with "this project" you mean the Swahili Wikipedia. I have to admit that initially I was a bit pessimistic about the future of the project, especially since I had the impression that few native Africans contributed. It was partly the reason for me to start contributing. I am now more optimistic, though cautiously so. I think we need many more Africans to contribute. ChriKo 22:27, 7 Agosti 2006 (UTC)[jibu]
1) I'm from the UK. I lived in Kenya for six few years when I was growing up, and still manage to visit East Africa about once a year. I picked up a little Swahili when I lived in Kenya, but I've been trying to learn properly for the last couple of years. My Swahili isn't anywhere near good enough to write fresh articles, but I've got a fair bit of experience with MediaWiki and Wikipedia, and when I have time I try and help out here with more technical wiki aspects like templates, categories, translating the user interface etc.
2) I got involved in the English Wikipedia in March 2004, and the Swahili Wikipedia from 2005. I probably first heard about it from the Swahili article in en:.
3) It's very encouraging to have reached 1,000 articles. For a long time it was stuck with around a dozen actual articles of mediocre quality. We really need to have more African Swahili speakers involved with the project, but that may be a matter of waiting for more people to get online and to get faster connections. A Wikipedia edition needs a community of editors actively working and maintaining the project, but for that, a contributor needs a fairly decent connection to the Internet. Matt Crypto 17:35, 8 Agosti 2006 (UTC)[jibu]
Thats some interesting contributions here, I just came across them today (because I spent August once more in EAK and EAT and did not check very often). I have also had my thoughts about the African share among the authors. At the monent Ndesanjo looks a bit alone holding up the African flag in this wikipedia from the other side of the Atlantic, although he seems to be a tough guy and won´t be scared by all the wazungu invading here. On the other hand we probably have similar motivations for contributing here.
Surely it makes a difference if its all Africans contributing or if most contributions come from "guest-workers". Especially with articles on history, culture and society. A critical mind may call for some "decolonizing of the sw-wiki-mind" after some time from now.
On the other hand I think that it is not so grave with this open concept of wikipedia. Once an encyclopedia worthwhile to be called so is in place it will be used. And it is open to everybody to change and correct. So whatever "harm" I may do with my contributions - it's open for change.
I really find this much more worthwhile than a wikipedia say in English - German - French because this may be the only chance in a nearer future for Kiswahili to have an encyclopedia -I dont see it coming in print from any East African publisher. So lets go. Pecca fortiter! (thats Martin Luther about necessary sins ...) --Kipala 20:48, 13 Septemba 2006 (UTC)[jibu]

Areas of habitat

ChriKo, could it be possible to mention countries and places where the species you describe occur? Would be helpful for interlinking. Just an idea, what do you think? --Kipala 20:48, 13 Septemba 2006 (UTC)[jibu]

Hi Kipala, welcome back! Yes, countries and places will have to be mentioned when I get down to describing species. For the moment, I am listing groups that have single Swahili names, and providing short descriptions. Describing the individual species will be a lot of work, which I do not have much of at the moment. As a matter of fact, I am thinking of requesting the help of my friends of the Nature Kenya bird group. I may also contact some Tanzanian birders. ChriKo 21:32, 13 Septemba 2006 (UTC)[jibu]

Nahitajii jina

Chriko, naomba nisaidie jina la "Goshawk" (kijer. Habicht). Naiihitaji kwa makala ya Azori. Jina ni lile la ndege. Naweka kwa sasa "tai" lakini si yenyewe. Ukijua naomba sahihisha neno lile moja tu. --Kipala 23:59, 15 Septemba 2006 (UTC)[jibu]

Jina la "goshawk" ni "kipanga". Nimekwisha kuhariri makala yako. ChriKo 18:41, 16 Septemba 2006 (UTC)[jibu]


mpungate (kakati)??

Chriko, naomba tena msaada ikiwezekana. Nahitaji neno la "cactus" - angalia makala ya "Nembo ya Mexiko". Nimetumia neno "mpungate (kakati)" lakini sina uhakika kama ni sahihi. Ukijua nashukuru ukisahisha. --Kipala 16:34, 27 Septemba 2006 (UTC)[jibu]

Salamu Kipala. Mpungate ni sawa. "Cacti" haitokei Afrika kwa asili. Spishi chache zimeingizwa na ile iliyotapakaa ni "prickly pear" au mpungate. Ni spishi hii inayoonyeshwa kwa nembo ya Mexiko. ChriKo 10:35, 1 Oktoba 2006 (UTC)[jibu]

Problem of lines inside taxoboxes

Chriko, youa sked me about a problem with line getting into taxoboxes. Does it persist? It could be something with the settings on your screen. I have seen it, too, but it is not consistent and sometimes off again. --Kipala 18:57, 8 Oktoba 2006 (UTC)[jibu]

Majina za nchi

ChriKo, asante kwa ushauri wako kwenye ukurasa wa majidiliano / Afrika. Ushauri wangu ni tofauti kidogo: tusivutane mno kuhusu tahijia ya maneno au kutumia majina namna gani. Tutapoteza muda wetu tu.Tuongeze maumbo mengine kwa kuongeza makala za "Redirect".
Sababu zangu
  • hali halisi hakuna orodha ya majina inayokubaliwa. Hatuna budi kuendelea na maumbo mbalimbali lakini tuweke viungo! Tujitahadhari tukibadilisha kitu ili tusiharibu viungo vilivyopo!
  • orodha za TUKI na BAKITA ya majina ya nchi haifuatwi mara nyingi wala Tanzania wala Kenya. Jinsi inavyoonekana kwangu sehemu yake ni kazi bure. Kama orodha ya Kamusi Hai ni sawa zote mbili hazikubaliani kati yao.
  • Nimejipatia "Atlasi kwa Shule za Msingi Tanzania" (ISBN 9976950403, chapa ya tatu 2005) ambayo ni Atlasi ya pekee kwa Kiswahili ninayofahamu. Haifuati orodha ya TUKI. Lakini hii ni namna ya majina ambayo wanafunzi wanafundishwa nchini Tanzania.
  • inaonekana kuna nchi yenye majina ya pekee kwa Kiswahili yenye uzoefu ya miaka mingi (kwa mfano Misri, Uingereza, Marekani, Shelisheli). Haya tutetee.
    • Nchi nyingine ina majina ya kimapokeo (kama vile Uhabeshi, Uajemi) lakini kuna matumizi sawasawa ya majina ya kimataifa kama vile Ethiopia na Iran. Hatuna budi kuonyesha yote.
    • Kuna nchi nyingine ambazo hazijadiliwi mara nyingi kwa Kiswahili. Hapo matatizo yanaonekana ya orodha zilizotungwa kwenye deski ya TUKI au BAKITA lakini hazitumiki au hutumiwa mara chache sana lakini majina ya kimataifa hutumiwa zaidi. Mifano ni Guinea, Cote d'Ivoire, Nigeria (TUKI: Gini, Kodivaa, Nijeria) na mengi mengine. Nashauri tuongeze Redirect na kuongeza kwa mabano majina haya katika makala ya nchi.
  • Mtindo wa TUKI na BAKITA mara nyingi ni kufuata matamshi ya Kiingereza. Ila tu si rahisi kuelewana kwa sababu katika Kiingereza kuna tofauti katika matamshi (Kiingereza ya kisiwani au ya Marekani auya wapi..). Wameanza tu kwa orodha ya majina machache ya nchi. Baada ya kuandika makala mengi ya nchi naona matata katika mtindo huo. Pamoja na sababu nilizotaja hapo juu inaongeza ugumu wa kuoandika makala upande wa historia, kwa mfano ukieleza asili ya jina la nchi (etimolojia). Kwa mfano Guyana ilipatikana kama jina la koloni tatu za Uingereza, Ufaransa na Uholanzi katika Amerika ya Kusini. Kwa nini tuandike nchi moja "Guyana" lakini nchi nyingine "Gwiyana" (TUKI)?? Kwa nini San Marino iwe "Samarino"?? Hizi ni fikra tupu za deski lakini si matumizi ya lugha.
Nitaandika makala kuhusu tatizo na kutoa orodha ya majina ya nchi kandokando. Nimeshandaa orodha ya TUKI/BAKITA kwa bara na nitaongeza umbo la Atlasi kwa Shule za Msingi.
Naona heri tufuate umbo la Atlasi kwa sababu hii ni kitabu kinachotumiwa, tofauti na orodha zile zilizotajwa. Unaonaje ? --Kipala 18:32, 8 Oktoba 2006 (UTC)[jibu]
Kipala, nimefahamu sababu zako za kupea nchi majina fulani. Lakini nafikiri si mzuri kutumia kitabu kimoja ili kuchagua majina haya. Ni kweli kama wanaisimu hawakubali kuhusu utumiaji wa majina ya nchi. Hata mimi sipendi majina kadhaa, kama Gine na Kotivaa (hata Samarino). Wala sipendi mtindo wa kufuata matamshi ya Kiingereza. Lakini nani atachagua? Ni sisi wazungu au wazungumzaji wa kienyeji? Inaonekana kwangu kama ni lazima tuhakikishe utumiaji wa majina ya nchi miongoni mwa wananchi na kwa magazeti.
Tusipotumia majina ambayo yanafuata matamshi ya Kiingereza, tutafuata matamshi gani? Kama hakuna jina ambalo linatumika sana, labda tungetumia jina rasmi linalotumika nchini, k.m. Guyana au San Marino. Pengine tunaweza kufuata majina yanayotumika kwa lugha zingine za Bantu. K.m., “Kameruni” hutumika kwa Kinyarwanda. Nafikiri afadhali tutie –i nyuma ya majina rasmi ambayo mwisho yao ni konsonanti, kwa sababu hii haipatikani kwa maneno ya lugha za Bantu.
Kwa kila hali haya ni majadiliano baina ya wazungu wawili. Afadhali tukaribishe wananchi. ChriKo 21:34, 9 Oktoba 2006 (UTC)[jibu]

Karibu tena!

ChriKo, nimefurahi kuona bata yako! Niliogopa umepotea lakini umerudi. Karibu tena! --172.173.207.46 06:00, 9 May 2007 (UTC)

Asante! Nimefanya kazi katika Sudan na Senegal. Kupata mtandao kwa nchi hizi ni ngumu isipokuwa mjini kuu.ChriKo 08:32, 9 May 2007 (UTC)

Nimefudhu

Salam Nyiingi Nd. ChriKo, Ni baada ya kimya kingi natafakari nyingi zilizonijaa juu ya sanduku za habari. Ni siku hizi nimeamua kuwa naziumba mwenye kisha naomba msaada wa marekebisho kutoka kwa mkab. Hilo ni baada ya wewe ndugu chriKo kunifahamisha hivyo nimefaulu ahsante. ---Muddyb Blast Producer 05:44, 22 Oktoba 2007 (UTC)[jibu]

Salamu nyingi ndugu Muddyb. Ninafurahi sana kuona kama umeweza kuandikia wikipedia yetu makala mengi. Kusaidia ni furaha yangu. ChriKo 16:21, 25 Oktoba 2007 (UTC)[jibu]

Uchaguzi

Kuna mapendekezo mapya kwa Wakabidhi na bureaucrat. Naomba angalia ukurasa http://sw.wikipedia.org/wiki/Wikipedia:Wakabidhi --User_talk:Kipala 08:35, 1 Februari 2008 (UTC)[jibu]

Uteuzi mpya

Kuna pendekezo jipya kwa bureaucrat. Naomba uangalie ukurasa wa wakabidhi. --Oliver Stegen 09:16, 1 Machi 2008 (UTC)[jibu]

ChriKo, salam. Ndugu ChriKo, unaweza kunieleza mawili matatu kuhusiana na Sooty Chat? Ikiwezekana umwandikie hata makala inayomhusu huyu ndege! Natumai nitakubaliwa ombi langu!! Ubarikiwe.--Mwanaharakati (majadiliano) 07:43, 5 Septemba 2008 (UTC)[jibu]

Muddyb, salama nyingi. Pole, niko porini. Nitajibu baadaye. ChriKo (majadiliano) 23:41, 11 Septemba 2008 (UTC)[jibu]
ChriKo, salam. Ahksante kwa ukurasa wa ndege Chati. Lakini labda nikusumbue kidogo (samahani sana). Huyu ndege kweli ni yule, lakini yule niliyemtaka mimi ni yule anayesemekana kuwa yeye anaimba (songbird), ambaye makala yake waweza kuifikia kwa kutumia ukurasa huu! Natumai umenipata, basi ukipata muda tena, naomba ujaribu!! Kazi njema.--Mwanaharakati (Longa) 06:09, 24 Septemba 2008 (UTC)[jibu]
Salaaam! Sijui kwa Kiswahili anaitwaje. Ila nimeona katika Wikipedia kwa Kiingereza wakimwita Sooty Chat! Ila kwa Kiswahili sijui. Lakini ni Sooty Chat. Kila lakheri...--Mwanaharakati (Longa) 09:05, 26 Septemba 2008 (UTC)[jibu]
ChriKo, salam. Nashukuru kwa makala nzuri ya ndege mwimbaji!! Pia nakutakia kila lakheri huko uliko, ahsante.--Mwanaharakati (Longa) 05:41, 6 Oktoba 2008 (UTC)[jibu]

Hi ChriKo ;)

Hi! How are you? Could you please help me add a couple of sentences to the Kiswahili version of this interesting article?

Thanks so much! -Ivana Icana (majadiliano) 22:35, 6 Septemba 2008 (UTC)[jibu]

Hi Ivana, I'll try to find some time. ChriKo (majadiliano) 23:46, 11 Septemba 2008 (UTC)[jibu]
Salaam, huyu mama ni msumbufu. Angalia majadiliano kwenye ukurasa wa makala. --91.96.107.243 08:33, 12 Septemba 2008 (UTC)[jibu]
Kweli, nimeona. Asante sana! ChriKo (majadiliano) 20:53, 14 Septemba 2008 (UTC)[jibu]

Familia

ChriKo, salaam. Nafurahia kuona insi unavyoendelea na makala za ndege. Sasa nimegundua jambo. Unaweka Kiungo kwa familia kama kitengo cha uainishaji. Je unaonaje ikibadilishwa kuwa familia (biolojia)? Maana yake neno familia pekee yake itakuwa ni zaidi jumuiya ya kibinadamu. Je, bado inawezakana kubadilisha kiungo hiki? --Kipala (majadiliano) 19:00, 29 Novemba 2008 (UTC)[jibu]

Salaam, umesema kweli. Nitavibadilisha baadhi kwa kila wakati mmoja. ChriKo (majadiliano) 21:53, 29 Novemba 2008 (UTC)[jibu]

Pole na kazi!

ChriKo,salaaaam! Mzee wangu, nimeona umefanya kazi siyo ya kitoto kiasi hata kustahili kupewa pongezi - HONGERA! Ni baada ya kimya kirefu almanusura tukukatie tamaa kama jinsi ilivyo kwa Nino, Matt, Sj, na wengine weeeengi! Ningependa kusema karibu tena na ninafurahia kuona Waswahili tunazidi kupata makala nyingi za ndege. Na kwa hili, sidhani kama kuna Wikipedia yeyote ya Kiafrika inafikia Wikipedia yetu kwa makala za ndege. Basi tusemaje? Labda hongera zaidi na kila la kheri liwe juu yako! Nikiwa natokea Dar es Salaam, Tanzania, niite Muddyb au--Mwanaharakati (Longa) 08:35, 23 Machi 2009 (UTC)[jibu]

Muddyb, salaam na asante kwa pongezi zako. Mara kwa mara ninasafiri kwa ajili ya kasi yangu na wakati huu siwezi kuandika makala. Napenda sana kufanya kazi hii na ninafurahi kama kuna watu ambao wanapenda vile ninafanya. Utaona makala mpya nyingi za ndege. ChriKo (majadiliano) 11:30, 24 Machi 2009 (UTC)[jibu]
Basi tunazikaribisha!!!!!!--Mwanaharakati (Longa) 13:02, 24 Machi 2009 (UTC)[jibu]

11,000

ChriKo, salaaaaam! Wikipedia yetu imefikisha makala 11,000! Ni furaha iliyoje? Basi tu, niseme tujitahidi kuendeleza na kushauriana kwa kila jambo litakalosaidia Wikipedia yetu kuwa juu! Kila la kheri.--Mwanaharakati (Longa) 15:54, 9 Aprili 2009 (UTC)[jibu]

Oyeeee!!! Hongera Muddyb, hongera kila mtu aliyechangia. Ninafurahi sana. Nasema tufikishe 20,000 sasa.ChriKo (majadiliano) 21:47, 11 Aprili 2009 (UTC)[jibu]

Swala na wengine

Salaam ChriKo Je unajua kama kuna njia ya kutofautisha kwa Kiswahili kati ya akina swala na wale wanaoitwa "antelope" kwa Kiingereza? --91.62.33.152 11:11, 16 Aprili 2009 (UTC)[jibu]

Ndiyo, najua. Nitaweka orodha ya spishi katika makala ya swala. Nikipata nafasi nitaandika kurasa za spishi.ChriKo (majadiliano) 12:56, 16 Aprili 2009 (UTC)[jibu]

Mwanaharakati awe bureaucrat

Nimemteua Mwanaharakati achaguliwe kuwa msimamizi mkuu pamoja nasi (b'crat). Naomba upige kura kwenye ukurasa wa wakabidhi. Asante! --Baba Tabita (majadiliano) 07:20, 28 Mei 2009 (UTC)[jibu]

Flowerparty awe mkabidhi

Nimemteua Flowerparty achaguliwe kuwa mkabidhi pamoja nasi. Naomba upige kura kwenye ukurasa wa Wakabidhi. Ahsante! --Mwanaharakati (Longa) 10:36, 9 Julai 2009 (UTC)[jibu]

mradi wa Google kwa ajili ya wikipedia yetu

Bwana ChriKo, salaam!
Nimepata mawasiliano kutoka Christine Moon begin_of_the_skype_highlighting     end_of_the_skype_highlighting huko Palo Alto, California. Yeye anafanya kazi kwa shirika la Google, nao wameanza kupanga mradi au huduma kwa ajili ya wanafunzi wa vyuo vikuu nchini Tanzania na Kenya ili waelimishwe kuandika makala kwa wikipedia ya Kiswahili. Kumbe!
Christine sasa ametualika kumwandikia maoni yetu, angalia tovuti hiyo:
http://docs.google.com/Doc?docid=0AbIPJ9Nv6udZZGd6MndwcGdfMzFkODNzOG0zYw&hl=en
Bahati mbaya yeye haelewi Kiswahili, kwa hiyo itakuwa lazima kumwandikia kwa Kiingereza. Asante kwa michango yako!
Ni wako katika ujenzi wa lugha yetu, --Baba Tabita (majadiliano) 08:04, 10 Oktoba 2009 (UTC)[jibu]

Baba Tabita, salamu sana. Ni sawasawa, nitamwandikia nikiwa nimerudi safari yangu. Nipo kusini kwa Senegali sasa. ChriKo (majadiliano) 22:54, 12 Oktoba 2009 (UTC)[jibu]

majadiliano kuhusu utafsiri wa istilahi

Bwana ChriKo, salaam! Nimeanzisha majadiliano mapya kuhusu utafsiri wa istilahi ya wikipedia yetu hapa. Naomba uyaangalie na kuchangia maoni yako. Asante! --Baba Tabita (majadiliano) 09:39, 23 Oktoba 2009 (UTC)[jibu]

Miti

Salaam nafurahia kuona ya kwamba siku hizi umeangalia hata mahali ambako ndege hulala au kutafuta kivuli! --Kipala (majadiliano) 07:31, 10 Desemba 2009 (UTC)[jibu]

Salaam. Nafurahi kama unapenda vile ninafanya. Nafikiri mimi ni mwanabiolojia wa pekee ambaye anaandikia wikipedia ya Kiswahili makala. Kwa hivyo lazima niandike kuhusu mada yoyote ya biolojia. ChriKo (majadiliano) 21:53, 10 Desemba 2009 (UTC)[jibu]

Hongera ya makala 18,000

Salam, ChriKo! Hongera ya makala 18,000! Kumbe tumefika - japokuwa kuna mengi ya kusahihisha na kufuta pia. Lakini si mbaya tukipongezana! Tuendeleeni jamani.--MwanaharakatiLonga 09:13, 31 Mei 2010 (UTC) [jibu]

Sanduku la uainishaji kwa ng'ombe

Naomba angalia mabadiliko ya sanduku kwa ng'ombe. Nimeongeza elezo kwa Ruminantia na kuweka maelezo yote maandishi madogo. Unaonaje? Ukipenda, tumia - usipopenda - rudisha ukurasa nyuma. (91.98.113.164 21:03, 7 Juni 2010 (UTC)) ni mimi Kipala (majadiliano) 05:32, 8 Juni 2010 (UTC)[jibu]

Nimeona, asante. Nitaitumia, lakini nimeibadilika vidogo. ChriKo (majadiliano) 16:10, 8 Juni 2010 (UTC)[jibu]

Questionnaire

Nadhani labda wewe umepata pia maswali yale ya Rachel - hapa majibu yangu: Mtumiaji:Kipala/questionnaire - Kipala (majadiliano) 19:07, 30 Juni 2010 (UTC)[jibu]

Jimbo Wales' Wikimania questionnaire

Hi, how are you; I received a message from Jimbo Wales' office, asking if I would like to participate in a questionnaire. As I am not so proficient in Kiswahili, I wonder if you would be interested? /// Hi, mimi nilipokea ujumbe kutoka kwa ofisi ya jimbo Wales ', kuuliza kama napenda kushiriki katika maswali ya. Kama mimi si hivyo magari katika Kiswahili, mimi ajabu kama ingekuwa nia? Kama wewe ni, nami nitawapa ujumbe kwamba una nia. /// Please see: User talk:Mr Accountable#Hello! --Mr Accountable (majadiliano) 18:27, 1 Julai 2010 (UTC)[jibu]

Msaada wa tasfiri

Salam mzee ChriKo. Kumradhi ndugu, unaweza kutoa maoni kwenye ukurusa wa jumuia? Tafadhali tembelea:

Wikipedia:Jumuia#Tafsiri_ya_.22Wikipedia_Usability_Initiative.22_kwa_Kiswahili

Kila la kheri.--MwanaharakatiLonga 13:49, 3 Julai 2010 (UTC) [jibu]

Kura ya kuamua juu ya wakabidhi waliopotea

Karibu kutembelea ukurasa wa wakabidhi na kuamua juu ya wenzetu waliopewa haki za wakabidhi lakini hawakuonekana tangu miezi mingi: Wikipedia:Wakabidhi#Kura_ya_kuondoa_wakabidhi_waliopotea. Tuliwahi kujadili swali hili mwaka uliopita (tazama kwenye ukurasa unaotajwa, juu ya pendekezo) ; sasa njia imeonekana. Kipala (majadiliano) 05:28, 1 Oktoba 2010 (UTC)[jibu]

Salam, ChriKo! Eti umeona huo ukurasa huo hapo juu? Unaenda katika Wikipedia ya Kiingereza, huruma - sijui hao Chipmunks ni panya au namna gani. Je, unaweza kuumba ukurasa wa Chipmunk japo kwa Kiswahili? Au hata ukielezea namna uonavyo kwa kitaalamu zaidi? Haya, ni hilo ombi langu. Wako Muddyb au,--MwanaharakatiLonga 09:07, 11 Oktoba 2010 (UTC) [jibu]

Muddyb, salaam. Ndiyo, nimeona ukurasa huo. Chipmunk ni aina ya kindi ambaye anaishi ardhini. Nikipata nafasi ningeweza kuumba ukurasa wa chipmunk, lakini isingekuwa mzuri zaidi niumbe ukurasa wa kindi kwanza? Wako, Christiaan. ChriKo (majadiliano) 13:31, 14 Oktoba 2010 (UTC)[jibu]
Jamani? Miye sijui lolote kuhusu wanyama! Kwa vile wewe ni mtaalamu wa masuala ya viumbe hai, tafadhali fanya vile ipasavyo! Ikiwa safi, basi nitakuwa mwenye kushukuru. Kila la kheri.--MwanaharakatiLonga 16:55, 14 Oktoba 2010 (UTC)[jibu]

Makala za mamalia

Kipala na Muddyb, salaam. Nawaandikia tena kuhusu rafiki yetu Mjanja. Ameanzisha makala nyingi kuhusu mamalia ambao hawatokei Afrika. Pengine naweza kukubali majina anayotumia, lakini kuna mengine ambayo ameyabuni kabisa au anayatumia kwa njia mbaya. Sidhani ni mzuri kama msemaji asiye mwenyeji anabuni majina mapya. Tafadhali hii ifanywe na wataalamu wa kienyeji. Majina nisiyoyakubali ni yafuatayo:

Mnajua wataalamu (wanazoolojia) ambao watakubali kubuni majina ya wanyama haya kwa Kiswahili? Zamani nimeandikia wanazoolojia katika Tanzania na Kenya, lakini hakuna mtu aliyejibu. ChriKo (majadiliano) 23:02, 20 Julai 2011 (UTC)[jibu]

Nakubali - asianzishe. Je tufute zote? Menginevyo: nimempata mtaalamu 1 anayejibu mara kadhaa lakiní yeye mwalimu wa astrologia. Wengine: maaraida swa na yako. Kipala (majadiliano) 22:35, 21 Julai 2011 (UTC)[jibu]
Kwa maoni yangu unaweza kuzifuta. Nitaendelea kutafuta wanazoolojia walio tayari kutafsiri majina ya wanyama wasiotokea Afrika. Itakuwa ngumu kwa sababu siishi katika Afrika ya Mashariki sikuhizi.ChriKo (majadiliano) 23:27, 22 Julai 2011 (UTC)[jibu]

Salaam

ChriKo, nataka kukuambia tu nafurahia kila safari ninapokuona jinsi unavyoendelea kujenga msingi wa wikipedia yetu kazika habari za biolojia. Asante. 91.98.113.164 18:44, 9 Oktoba 2011 (UTC)[jibu]

Karibu! Furaha ni yangu. (Ulisahau kutia sahihi yako, kwa hivyo sikuweza kukuhutubia kwa jina lako). ChriKo (majadiliano) 20:31, 9 Oktoba 2011 (UTC)[jibu]

Désolé

Hello ChriKo,
I'm afraid I don't speak a single word of swahili, so I could not even read your message of Decembre 4th. If you could have it translated into english, I would be able to read and most probably understand it, and then answer it if needed. Anyway, I thank you very much for the attention you paid to my humble person. Hop [[Utilisateur:Kikuyu3|Kikuyu3]] [[Discussion utilisateur:Kikuyu3|Sous l'Arbre à palabres]] (majadiliano) 20:15, 10 Desemba 2011 (UTC)[jibu]

Bonjour, Chriko,
Merci de ton intercession sur la page de discussion de l'article "swahili" sur SW:. Ta traduction de ma question a engendré rapidement une réponse d'un contributeur plein de bon sens. J'ai transposé sa réponse sur la page de discussion de l'article. Je viens de faire de même avec ta propre réponse, ainsi nos spécialistes du sujet sauront comment s'orienter.
Asante sana, je crois qu'on dit comme ça. Merci beaucoup et Hop ! [[Utilisateur:Kikuyu3|Kikuyu3]] [[Discussion utilisateur:Kikuyu3|Sous l'Arbre à palabres]] (majadiliano) 11:37, 11 Desemba 2011 (UTC)[jibu]

Bioanuwai

Nisipokosei unatafuta neno "bioanuwai". Ujaribu kuiweka katika google nadhani utaridhika. Wasalaam! 91.98.113.164 11:41, 27 Desemba 2011 (UTC)[jibu]

Nadhani jibu umepata, mzee wangu. Kama alivyosema ndivyo-iitwavyo!--MwanaharakatiLonga 12:31, 27 Desemba 2011 (UTC)[jibu]
Asante sana!! ChriKo (majadiliano) 13:42, 27 Desemba 2011 (UTC)[jibu]

Jamii:Mitishamba

Nimekuta leo jamii hii nikashangaa kidogo. Sijaangalia yote lakini ninahisi ni zaidi miti ya matunda ambayo si "mitishamba" - yaani dawa (la kienyeji) kutokana na mimea inayopatikana katika mazingira. Lakini haimaanisha "Miti inayokua shambani". Kama nimekosea naomba maelezo zaidi. Kipala (majadiliano) 13:35, 11 Februari 2012 (UTC)[jibu]

Ndiyo, uko sahihi. Sikufikiria vizuri. Nikikuta jamii hii, niliangalia ndani yake nikaona miti ya matunda. Kwa hivyo nimeongeza miti ya matunda mingine. Lakini kweli, “mitishamba” ni dawa litokalo shambani au msituni. Nitaondoa miti ya matunda. ChriKo (majadiliano) 19:06, 11 Februari 2012 (UTC)[jibu]

Pendekezo kuhusu utaratibu wa kuanzisha makala kwa watumiaji waliojiandisha pekee

naomba usome hapa na fanya uamuzi wako: Wikipedia:Jumuia#Pendekezo:_Utaratibu_wa_kuanzisha_makala Kipala (majadiliano) 14:57, 26 Novemba 2012 (UTC)[jibu]

Article requests in Swahili

Hi! I know you are sw-2. Are you interested in writing short stubs for the Swahili Wikipedia? Thanks WhisperToMe (majadiliano) 01:18, 24 Julai 2013 (UTC)[jibu]

Hello. I am already writing plenty of articles, stubs and otherwise, for the Swahili Wikipedia. What kind of stubs would you want me to write? ChriKo (majadiliano) 12:20, 24 Julai 2013 (UTC)[jibu]
The stubs I had in mind are mainly government agencies, including radio producers, public school systems, and an aviation authority. The list includes:
Please let me know if you are interested in writing articles about these subjects
WhisperToMe (majadiliano) 17:31, 24 Julai 2013 (UTC)[jibu]
Being a biologist, these subjects don't particularly interest me, but when I have some time, I'll see what I can do. ChriKo (majadiliano) 19:35, 24 Julai 2013 (UTC)[jibu]
Thank you :) - All I need are small stubs. I'll let you know if I find anything biology or science related that I think should have a Swahili translation WhisperToMe (majadiliano) 05:05, 25 Julai 2013 (UTC)[jibu]
Have you had a chance to start some of these stubs? WhisperToMe (majadiliano) 19:18, 31 Agosti 2013 (UTC)[jibu]
I'm afraid that I've had little time to spend on Wikipedia lately. Maybe in the next few weeks.ChriKo (majadiliano) 20:41, 31 Agosti 2013 (UTC)[jibu]
Ok. If you do get a chance to do it, please let me know. Thank you WhisperToMe (majadiliano) 16:01, 10 Septemba 2013 (UTC)[jibu]
First one: https://sw.wikipedia.org/wiki/Radio_France_Internationale. ChriKo (majadiliano) 21:01, 10 Septemba 2013 (UTC)[jibu]
Thank you so much! 108.243.10.234 07:14, 28 Septemba 2013 (UTC)[jibu]

Viungo vya interwiki katika makala mpya

Salaam tele Nd. ChriKo kutoka mjini Dar es Salaam, Tanzania! Baada ya salaam, ninapenda kukumbusha kuhusu uwekaji wa viungo vya interwiki katika makala mpya. Hivi karibuni nimeona ukiandika makala bila viungo vya Wikipedia zingine. Wamebadili utaratibu wa kuunganisha Wikipedia moja kwenda nyingine - je, ushajua namna ya kuunganisha? Binafsi nimeunga ya "Lemuri-spoti" kwenda ENWIKI. Tafadhali nijuze kama unaona kuna kikwazo katika hilo. Wako,--MwanaharakatiLonga 06:00, 19 Agosti 2013 (UTC) [jibu]

Salaam kwako Muddyb. Uko sahihi. Tangu njia hii mpya kuweka viungo imetekeleza, ninasahau kuviweka mara kwa mara. Nitaisahihisha. Asante kwa kunikumbusha. ChriKo (majadiliano) 21:34, 19 Agosti 2013 (UTC)[jibu]

Wiki Indaba conference

Salaam, ChriKo. Kuna mpango wa mkutano mjini Johannesburg mwezi wa pili mwakani, angalia http://wikiindaba.net/index.php?title=Main_Page - pia, umeombwa kujibu maswali yao kwenye tovuti la Google docs: https://docs.google.com/forms/d/1zEk6hw4IiQYVrdJGYphPhQHOQFi4wdOIXvzVj9vy_gU/viewform Asante kwa msaada wako. Wasalaam, --Baba Tabita (majadiliano) 12:28, 4 Novemba 2013 (UTC)[jibu]

Salaam Baba Tabita. Ningependa sana kushiriki katika mkutano huu, lakini ni mbali sana kutoka mahali pa kazi yangu ya sikuhizi: Maroko. Indaba ikija Afrika ya Kaskazini nitajaribu. ChriKo (majadiliano) 12:40, 5 Novemba 2013 (UTC)[jibu]
Sawa kabisa, Ndugu ChriKo, nakuelewa. Hata mimi sitaweza kuhudhuria. Gharama ya kwenda Afrika Kusini kutoka Nairobi ni sawasawa na ile ya kwenda Ulaya. Mzee Kezilahabi alivyoandika, "Dunia Uwanja wa Fujo". Wasalaam, --Baba Tabita (majadiliano) 06:12, 6 Novemba 2013 (UTC)[jibu]

Edits

ChriKo, nimefurahi sana kuona edits zako. Unajenga habari za maana sana ! Asante! 23:21, 20 Januari 2014 (UTC)

Usijali ndugu, kwa furaha! ChriKo (majadiliano) 23:46, 20 Januari 2014 (UTC)[jibu]
Nisamehe - ni mimi Kipala (majadiliano) 06:18, 21 Januari 2014 (UTC)[jibu]
Ah Kipala, salaam. Sikupata habari zako kwa muda. Natumaini u mzima.ChriKo (majadiliano) 12:20, 21 Januari 2014 (UTC)[jibu]

Update on Upcoming Wiki Indaba Conference

My name is Rexford Nkansah, currently serving as a Wikipedian in Residence at the Africa Centre in Cape Town.

The Wikimedia Foundation has shared with us the incredible number of edits that you have done on this Wikipedia. You have are one of those with the high contribution to this Wikipedia.

As one of the highest contributors to one of the languages of the African continent, I want to inform you about the upcoming Wiki Indaba Conference which is similar to Wikimania, however, its designed by Africans for Africans.

This message is to inform you about scholarship to attend application currently open. You're invited to apply for scholarship to attend this conference.

Please see the main Wiki Indaba Website for more details on Eligibility and Deadline – look at www.wikiindaba.net for more details. And like the facebook page for updates.

Please don't hesitate to get in touch should you have any questions.

my contact is rexford[@]wikiafrica.net

Naomba ushirikiano wako!

Mpendwa, nakuomba uangalie baada ya siku 2,3 kurasa hizi mbili:

1. Wikipedia:Wakabidhi#Kusafisha_orodha_ya_Wakabidhi_mwaka_2014
2. Wikipedia:Ukurasa_wa_jumuia#Wiki_Indaba_2014

Kuhusu 1) napendekeza kuwachagua wakabidhi wapya na kuondoa wale waliomo katika orodha ya wakabidhi lakini hawakuwepo tangu miaka 2.

Kuhusu 2): nahitaji msaada na mawazo yenu. Nitashiriki kwenye mkutano wa Wikimedia mwezi wa Juni. Inaonekana mimi ndipo mchnagiaji wa pekee kutoka Wikipedia yetu. Ninajitahidi kupeleka mawazo ya jumuiya yetu. Naomba michango!

Nitaongeza karibuni mawazo yangu kuhusu mambo ninayoona kuwa na maana kwa mtazamo wangu. Ujumb huu natuma kwa wachangiaji wanaoonekana katika orodha ya wachangiaji hai waliochangia zaidi ya mara 3 katika siku 30 zilizopita!

Ndimi wako Kipala (majadiliano) 20:18, 13 Mei 2014 (UTC)[jibu]

Kipala salaam. Nakushukuru kunipendekeza kwa kuwa mkabidhi. Hata sasa nimekataa, lakini nafikiri siwezi kuendelea kukataa. Kama watu wa kutosha wakisema ndiyo nitafanya bidii. Natumaini kwamba nitapata hatua ya kutosha.
Kuhusu mkutano, nilitaka kwenda lakini kwa bahati mbaya nilipata kazi ya ushauri wakati huo huo (si mbaya sana kwa mfuko wangu bila shaka). Nafikiri ni lazima uzungumze kuhusu shida ya kupata wachangiaji kwa Wikipedia ya Kiswahili. Nadhani ni sawa kwa lugha nyingine za kiafrika. Ninajua kwamba ni hivyo kwa ile ya Wolof. Tunahitaji waafrika wa kike hasa kwa wachangiaji, ijapo hata nambari ya waafrika wa kiume si kubwa sana. Nimejaribu tangu miaka bila mafanikio mengi. Tangu mwaka uliopita mtu fulani huko Kenya anasaidia kutafuta wachangiaji, lakini hajafanikiwa. Watu wengi huuliza mara moja kama watalipwa. Tukisema hapana hatusikii habari zao tena kwa kawaida. Tunahitaji mpango mbunifu ili kuhimiza vijana hasa wakuwe wachangiaji. Na labda tungelipa watu mara kwa mara, lakini ni ya kukanganya.
Heri kwako! ChriKo (majadiliano) 20:28, 14 Mei 2014 (UTC)[jibu]
Kwanza nafurahi ya kwmaba umekubali kuwa mkabidhi. Kuhusu Joburg: mwenyewe sipendezwi na kuwalipa watu - lakini naweza kuitaja kama hoja. (ingawa neno "kukaganya" sijaelewa). Binafsi naona maana ya kuchangia kama kazi kwa wakati ujao. Hali jinsi ilivyo sasa ni chombo kinachotumika tayari na watu - naona karibu lakhi 1 kila siku! (http://stats.wikimedia.org/EN_Africa/TablesPageViewsMonthlyCombined.htm). Kila tunapoboresha watu wanaona. Idadi ndogo ya wachangiaji kwangu ni mazingira magumu.. yatakayobadilika. Kipala (majadiliano) 12:30, 19 Mei 2014 (UTC)[jibu]
Sawasawa, hakuna shida. ("Kukanganya" ni kama "kutatiza") ChriKo (majadiliano) 21:08, 20 Mei 2014 (UTC)[jibu]

Kura kwa Malangali

Salaam, Ndg ChriKo. Nilivyoandika kwenye ukurasa wa Wakabidhi, nimefurahi sana kuwa Ndg Malangali amerudi kwetu. Sasa ungeweza kutafakari kura yako tena kuhusu kumwondolea haki au la. Wasalaam, --Baba Tabita (majadiliano) 07:30, 20 Mei 2014 (UTC)[jibu]

Ndg Tabita salaam. Asante kwa kunijulisha. Nimebadilisha kura yangu. ChriKo (majadiliano) 21:15, 20 Mei 2014 (UTC)[jibu]

Mbwa na jamaa vs Canidae

Salaam ChriKo naona sasa tu kuna mifumo miwili, moja chini ya Mamalia ni "Majina ya mamalia kwa Kiswahili" . Nimeigundua katika orodha mbili za Jamii:Mbwa na jamaa upande moja na Jamii:Canidae. Ulilenga nini? ni sawa kuziweka pande zote mbili au tujenge utaratibu kivipi? Kipala (majadiliano) 20:06, 31 Mei 2014 (UTC)[jibu]

Salaam Kipala. Nimeweka njia mbili za kufika ukurasa fulani wa wanyama au mimea: kupitia majina ya Kiswahili au kupitia majina ya sayansi. Ukitazama vizuri utaona majina ya Kiswahili tu katika jamii Mbwa na jamaa, na majina ya sayansi tu katika jamii Canidae. Natumaini ni sawasawa. ChriKo (majadiliano) 21:05, 31 Mei 2014 (UTC)[jibu]

Uko wapi?

ChriKo, samahani nikiuliza swali la binafsi. Je uko Ulaya? Maana naangalia takwimu kwa ajili ya somo langu kwenye mkutano wa WikiIndaba; naona takwimu ya kuwa asilimia 24 za hariri zetu zatoka "Europe unspecified". Ilhali "Iran" (=mimi) inaonyeshwa kwa 15% nafikiri wewe labda umo katika hizi 24%. Ni kweli wewe? (Nyingine zinazotajwa ni Tanzania 30% = nadhani Muddy, Riccardo na wengine moja-moja, Canada 5% (?), Italy 4 % (?), USA 3 %...)

Kipala, usijali. Hii si siri. Kwa kweli, ninasafiri sana, lakini siko katika Ulaya mara nyingi. Takriban 60% ya wakati niko Maroko, 25% huko Kenya na mabaki katika nchi nyingine, Afrika hasa. ChriKo (majadiliano) 10:03, 4 Juni 2014 (UTC)[jibu]
Nashangaa kwamba nchi ya Kenya haijatajwa katika takwimu ya Kipala, hasa kama ChriKo, unasafiri kwetu mara kwa mara, tena nami naishi hapa Kenya 80% za muda wangu wote. Labda tuangalie orodha hii mwezi kwa mwezi. Wasalaam, --Baba Tabita (majadiliano) 10:48, 4 Juni 2014 (UTC)[jibu]

Jumuiya

Salaam, naomba uangalie hapa Wikipedia:Ukurasa_wa_jumuia#Salamu_kutoka_mkutano_wa_Wikiindaba_mjini_Johannesburg.2C_Afrika_Kusini Kipala (majadiliano) 11:17, 24 Juni 2014 (UTC)[jibu]

Virusi

Ndugu, kwanza nakupongeza kwa kazi zako. Sizipitii sana kwa sababu si mtaalamu wa biolojia. Mimi na wewe tunachangia Wiki katika mada tofauti, ila kwa lengo moja. Juzi nilipendekeza tujadili msamiati virusi kwa kuwa unasumbua, lakini leo naona umebadilisha virusi vi... kwenda virusi i... Nimechunguza katika kamusi za hivi karibuni, lakini hazikubali sahihisho hilo. Zinasemba ngeli yake ni vi. Isitoshe kamusi mbili zinakubali hata kirusi katika umoja. Ni kweli kwamba virusi ni neno la Kizungu, na halianzi kwa vi- kwa sababu ya ngeli, lakini katika maisha ya kila siku matumizi ni kama haya. Wasalamu. --Riccardo Riccioni (majadiliano) 13:47, 18 Agosti 2014 (UTC)[jibu]

Baada ya kuandika hivyo, nimekuta jibu lako katika Majadiliano ya Ebola. Basi, naongeza kwamba lugha mara nyingi haina mantiki. Inakwenda na watu ambao mara nyingi hawaelewi asili ya maneno. Tunaweza kupinga kwa muda, k.mf. wanaposema "Ana malaria mengi", lakini hatimaye hata wanaistilahi lazima wakubali. Kwa mfano kitabu na kibali si maneno ya ngeli ki-/vi-, bali i-/zi- kadiri ya Kiarabu, lakini nana atayatumia tena hivyo? --Riccardo Riccioni (majadiliano) 13:53, 18 Agosti 2014 (UTC)[jibu]
Asante. Ndiyo, mara nyingi lugha hazina mantiki. Nimekupa hoja yangu, lakini najua kama nimeshindwa. Watu wameanza kutumia kirusi/virusi. Kipala alijaribu pia, lakini hata yeye ameshindwa. Angalia: http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-lugha/75780-virusi-vya-au-virusi-ya-za.html. ChriKo (majadiliano) 21:30, 18 Agosti 2014 (UTC)[jibu]
Samahani kama sishiriki sana katika majadiliano haya, niko safari sasa Marekani kumtembelea kijana wangu nakaa hasa kwenye makambi (camping) na intaneti inapatikana mara chache tu. Ni kweli ya kwamba watu wasio wachache wanaona "VIRUSI" kuwa katika ngeli ya ki-vi ingawa sijaona mtaalamu yeyote kusema hivyo.
Basi naona mawili: A) inafaa kuangalia jinsi watu wenyewe wanavyosema (maana mimi ni mluteri na mzee wetu alisema "sharti kutazama midomo ya watu") B) inafaa pia kuwakumbuka Waswahili (yaani watumiaji wa lugha) wasiozoea Kiswahili sanifu kwa namna yoyote kama huko Kenya au Kongo. Kutokana na A na B naona haina kasoro tukiendelea kutumia virusi moja - virusi nyingi maana wote wanaelewa hata kama wengine wanalalamika.
Lakini kama mchangiaji fulani anaona tofauti basi tumwache. Menginevyo siku ile Kiswahili sanifu inayoeleweka na kukubaliwa kitatokea tunaweza kusahihisha kila kitu. Mnaonaje? Kipala (majadiliano) 05:57, 20 Agosti 2014 (UTC)[jibu]
Poleni kwa zogo. Mnafikiria sana juu ya hizi lugha. Nionacho mimi hapa ni A) Mmegubikwa na tafsiri halisi ya Kiingereza - hivyo mnajaribu kuleta maana ya Kiingereza hata katika istilahi za Kiswahili. Kama imeshindikana kwa Kiingereza - si lazima kwa Kiswahili ishindikane! B) Nimeona wataalamu kabisa wanasema virusi na kirusi. Tena naenda mbali zaidi Mwalimu wangu wa bailojia alikuwa anazungumza lugha hizi za kirusi na virusi mara kwa mara. HITIMISHO: Kwetu tunasema virusi/kirusi. Yaani, tunatumia lugha za wingi na umoja kana kwamba hili neno tumelizaa sisi! Hadi raha! Kila la kheri.--MwanaharakatiLonga 08:04, 20 Agosti 2014 (UTC)[jibu]
Kama nimeshasema, nafikiri muda umekwisha. Hatuwezi kusimamisha tsunami, hata kama wataalamu wa lugha ya Kiswahili wataamua kwamba virusi ni 9/10. Lakini kila mtu afanye vile anafikiri ni bora. ChriKo (majadiliano) 10:35, 21 Agosti 2014 (UTC)[jibu]
Mzee ChriKo hapo utakuwa umesusa. Na hilo halikuwa lengo! Kila la kheri..--MwanaharakatiLonga 07:14, 22 Agosti 2014 (UTC)[jibu]
Sikuwa na nia ya kusababisha zogo, ila kuona namna ya kwenda pamoja tusianze vita vya uhariri. Nadhani kitu kikubwa ni kwamba huku umepita moka kwa moja msamiati VVU kwa HIV, na tafsiri yake ni Virusi Vya Ukimwi. Ndugu Kipala, ukitaka kuona wataalamu waliopitisha Kirusi, kuna Concise Dictionary by Snoxwall and Mshindo, pia Kamusi Teule. Hata mimi sipendi sana, lakini tunajikuta katika hali hii. --Riccardo Riccioni (majadiliano) 12:32, 22 Agosti 2014 (UTC)[jibu]
Ndiyo Riccardo, tusianze vita vya uhariri. Na la Muddyb, sitaki kususa. Nitaacha kusahihisha "virusi vya" au "kirusi cha", lakini mimi mwenyewe nitaendelea kuandika "virusi ya" na "virusi za". Hata maneno mengine, kama "vita", yalikuwa katika ngeli mbili, walau zamani. ChriKo (majadiliano) 18:43, 24 Agosti 2014 (UTC)[jibu]
Bado niko mbali likizoni (yaani siwezi kuangalia kila siku) lakini napenda kusema mawili:
A) asante Muddy na Ricardo kwa kutuelimisha ya kwamba Kirusi siku hizi si lugha pekee mbali mdudu pia (pole lakini!)
B) Menginevyo namwunga mkono Chriko. Sioni hasara tukiacha yote kandokando (yaani kirusi cha na virusi ya) ilhali tu wasomaji wanaelewa. Hata kama wachache wanashagaa. Kama msemaji wa Kirusi anapata kirusi cha mafua, pole yake! Hata niko tayari kuangalia filamu kwa njia ya kideo, kama ni lazima sana. Pia namshukuru Mungu kila siku kwa sababu sijawahi kuona mwenyewe hata kita kimoja mwaishani mwangu. -- Basi, niache michezo hii maana lugha yangu ya Mama (Kijerumani) haina mantiki yoyote katika sarufi (der - die - das) kwa hiyo sina haki ya kulalamika uhaba wa mantiki kwa Kiswahili. (Ila tu zamani mwalimu wangu alidai iko...) Kipala (majadiliano) 05:50, 25 Agosti 2014 (UTC)[jibu]

Kupakia mafaili, Sogora ya kupakia?

Wikimedia Commons logo

Hello! Sorry for writing in English. As you're an administrator here, please check the message I left on MediaWiki talk:Licenses and the village pump. Thanks, Nemo 19:22, 18 Septemba 2014 (UTC)[jibu]

Upangaji wa kurasa za Punda, Punda-Kaya, na Asinus

Habari yako ChirKo. Inaonekana nilifanya makosa kwa kusogeza matini ya orodha ya spishi za Punda toka ukurasa wa Punda mpaka ukurasa wa Asinus. Naomba msamaha sana. Sasa, nafahamu ungependa kutumia ukurasa wa Punda kuwakilisha nusujenasi yote ya Asinus, na ukurasa wa Punda-Kaya kuwakilisha Punda afugwaye. Je, ninaelewa kwa usahihi unavyokusudi? Rberetta (majadiliano) 04:46, 26 Oktoba 2014 (UTC)[jibu]

Rberetta salaam. Umefahamu vizuri lakini hakuna haja kuomba samahani. Ulifanya vile ulifikiri ni bora. Lakini tunapendelea kurasa zenye vichwa kwa Kiswahili. Endelea kazi yako nzuri. ChriKo (majadiliano) 18:17, 26 Oktoba 2014 (UTC)[jibu]

Swali kuhusu mbinu ya viungo

Salaam ChirKo - nina swali jingine: Umeandika vigezo kadhaa vya oda za mamalia. Vigezo vichache vinatumia viungo nyoofu, kama hiki:

  • [[Paa (Bovidae)|Cephalophinae]] --> Paa (Bovidae)

huko vingine vinatumia kurasa za kuelekeza, kama hiki:

  • [[Cephalophinae]] --> #REDIRECT [[Paa (Bovidae)]] --> Paa (Bovidae)

Tukiendelea mbele, ungependelea mbinu ipi? Ninafikiri kurasa za kuelekeza ni bora, kwani mbinu hii itadumu zaidi kama mtu mwingine aje kuandika makala yenye majina ya Kilatini.

Nikihariri vigezo vyako kusahihisha viungo ambavyo vimevunjika, ningependa kufanya kawaida hivyo viungo pia. Je, unakubali? Rberetta (majadiliano) 15:46, 28 Oktoba 2014 (UTC)[jibu]

Rberetta salaam. Tafadhali nieleze maana ya "kiungo nyoofu". Isipokuwa hiyo nani ameweka Cephalophinae kama ukurasa wa kuelekeza? Ukurasa huu haupo bado. Au umeiandika kama mfano? Unanikumbusha nimwumbe ukurasa huu. Pengine ukurasa wa kuelekeza ni bora lakini sikubali kwa mfano wa majina ya Kilatini. Sitaki watu waandike kurasa zenye vichwa kwa Kilatini isipokuwa kama hakuna tafsiri katika Kiswahili. ChriKo (majadiliano) 22:48, 28 Oktoba 2014 (UTC)[jibu]
Pole - nilieleza vibaya. Nilitumia ukurasa wa Cephalophinae kama mfano tu - ndiyo kabla ya wewe kuandika ukurasa huo, haukuwepo. Niliandika "kiungo nyoofu" kumaanisha "direct link", kama hiki:
  • [[Paa (Bovidae)|Cephalophinae]] --> Paa (Bovidae)
Kiungo hiki chafanya kazi bila kutumia ukurasa wa kuelekeza. Sasa hivi, kiungo hiki kipo katika Kigezo:Artiodactyla. Kigezo:Lagomorpha inatumia viungo na kurasa za kuelekeza, kama hiki:
  • [[Bunolagus]] --> #REDIRECT [[Sungura]] --> Sungura
Katika vigezo ulivyoandika, viungo vingi ni viungo nyoofu, na viungo vichache vinatumia kurasa za kuelekeza. Lakini, umefanya kazi nyingi kuumba kurasa nyingi za kuelekeza, kwa hiyo mimi sikujua mbinu uliyopendelea.
Mimi sitaki kukushawishi kutumia mbinu yoyote - nataka kujua tu pendekezo lako, na nitafuata hilo pendekezo.
Pia - tafadhali nifundishe njia sahihi ya kusema "direct link" kwa Kiswahili!
Ok, sawasawa tu. Ninatumia ukurasa wa kuelekeza nikifikiri kwamba kuna uwezekano mzuri kwamba mtu fulani atatafuta neno hili katika Wikipedia ya Kiswahili. Na kama likiwa jina kwa Kilatini, faida ya ukurasa wa kuelekeza ni nafasi ya kuingiza jamii. Nadhani uliona kwamba ninatumia jamii za majina kwa Kilatini na jamii za majina kwa Kiswahili ili kufika kwenye ukurasa fulani wa kiumbehai.
Swali lako kuhusu "direct link" ni ngumu kidogo. Ningependekeza "kiungo cha moja kwa moja".
ChriKo (majadiliano) 23:47, 29 Oktoba 2014 (UTC)[jibu]

Naomba ushauri wako kuhusu muundo wa kurasa za wanyama

ChirKo Salaam. Nimekuwa nikifanya kazi kufanya kawaida kurasa zote za familia Bovidae. Labda umekuwa ukiniangalia. Sasa, nipo karibu na kuimaliza kazi hii, na naomba maoni na ushauri zako. Kama kuna kitu chochote ambacho ungependa kufanywa tofauti, tafadhali niambie, na nitafanya hivyo. Kwa mfano:

  • Kurasa chache zilikuwa zikitumia <small> kwenye maelezo ya ngazi za uainishaji. Niliondoa <small> kuzifanya kawaida kurasa hizo. Lakini, labda ungependa <small> kutumiwa? Kama hivyo, hamna shida - nitazibadilisha zote.
    • Mfano wa matumizi ya <small> ni: "Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
  • Nilianzisha kurasa tano zilizo na majina ya Kilatini, kwa sababu sijui majina ya Kiswahili yangefaa. Kurasa hizo ni Alcelaphinae, Antilopinae, Bovinae, Hippotraginae na Reduncinae. Wewe ukijua majina ya Kiswahili ambayo ungependelea, tafadhali niambie na nitazisogeza kurasa hizo.
  • Nilianzisha kurasa mpya kadhaa za kuelekeza kwa ajili ya jenasi na nusufamilia kadhaa ambazo hazikuwa na kurasa. Sasa, [[Jamii:Bovidae]] inakuwa kubwa kidogo. Ungependa nibadilishe kurasa za kuelekeza kutumia ngazi mbili - ngazi ya kwanza ikitumiwa kwa nusufamilia zote, na ngazi ya pili ikitumiwa kwa jenasi zilizo chini ya ngazi ya nusufamilia? Au niziache kama zilivyo?

Kukuhabarisha, Orodha kamili ya kurasa za familia ya Bovidae ninazingatia ni:

Alcelaphinae, Antilopinae, Baisani, Bovinae, Choroa, Digidigi, Dondoo, Hippotraginae, Kondoo-kaya, Kongoni, Korongo_(Bovidae), Kuro_(jenasi), Maksai_aktiki, Mbuzi, Mbuzi-kaya, Ng'ombe, Ngurunguru, Nyamera_(jenasi), Nyati_wa_Afrika, Nyumbu, Paa_(Bovidae), Pofu_(jenasi), Pongo, Reduncinae, Suni, Swala, Swala_pala, Tandala, Taya_(mnyama), Tohe

Rberetta salaam. Ndiyo, niliangalia kazi yako, ni kazi nzuri. Endelea tu. Sina malalamiko mengi. Nisipopenda kitu, ninakibadilisha, hakuna shida. Halafu utaona vile ninaipenda. Jambo hili la kuweka maelezo ya ngazi kwa herufi ndogo nafikiri ni fikira nzuri. Ukitaka badilisha tu yote, lakini itakuwa kazi kubwa.
Kurasa zenye majina ya Kilatini ni sawa isipokuwa majina ya Kiswhahili. Hata kwa lugha nyingine, kama Kiingereza, familia na nusufamilia hazina majina ya kienyeji. Lakini nadhani kwamba hakuna haja kuweka spishi zote za nusufamilia ndani ya ukurasa wake. Weka tu majina ya jenasi. Nimebadilisha ukurasa wa Alcelaphinae kukuonyesha jinsi ningefanya kazi hii. Mwsihowe, usisahau kutia sahihi ukiandika kitu katika majadiliano (~ nne). ChriKo (majadiliano) 23:50, 10 Novemba 2014 (UTC)[jibu]
Asante ChirKo. Sawa, nitatumia mabadilisho uliyofanya katika Alcelaphinae kama mfano, na nitafanya hivyo katika kurasa mpya nilizoanzisha. Lakini niliona suala moja - ulibadilisha [[Jamii:Bovidae]] kuwa [[Jamii:Alcelaphinae]]. Je, ulikusudi kufanya hivyo? Alcelaphinae siyo nusufamilia ya Alcelaphinae yenyewe, ni nusufamilia ya Bovidae. Au mimi sielewi? Rberetta (majadiliano) 01:02, 11 Novemba 2014 (UTC)[jibu]
Ndiyo, ni kweli kwamba Alcelaphinae ni nusufamilia ya Bovidae, lakini ukurasa wa nusufamilia fulani lazima uwemo katika jamii ya nusufamilia yake. Halafu jamii hii itakuwamo katika jamii ya familia yake. ChriKo (majadiliano) 11:07, 11 Novemba 2014 (UTC)[jibu]
Sawa - naelewa. Nilitumia mfano wako kubadilisha kurasa zote za nusufamilia. Asante. Rberetta (majadiliano) 17:50, 11 Novemba 2014 (UTC)[jibu]

Aloe - Mshubiri

Salamu ChriKo, katika Majadiliano:Shishiyu kijana wa huko ameuliza swali kuhusu Aloe vera. Ningependa kusaidia lakini si mtaalamu. Unaonaje: Ingekuwa sawa kuanzisha makala ya "Mshubiri" kwa jenasi "Aloe" halafu "Aloe vera" kama makala ya spishi? Nimekuta hii: Traditional Food Plants: A Resource Book ambako mwandishi anaona jina "mshubiri" pia kwa Aloe maculata - prev. A. saponaria lakini kufuatana na en:Aloe maculata maculata ni mmea wa Afrika Kusini pekee (siku hizi pia mmea wa mapambo Marekani).

Halafu: tuna neno kwa "succulents"? "Mimea ya utomvu"? "Mimea chapachapa /chepechepe" (pendekezo la KAST). Una ushauri? Asante Kipala (majadiliano) 14:53, 29 Novemba 2014 (UTC)[jibu]

Kipala salaam. "Mshubiri" au "msubili" ni majina kwa spishi kadhaa za Aloe. Nimepata "kisimamleo" pia, lakini sijui ni spishi gani. Kwa asili majina ya kwanza yalitumiwa kwa spishi za Afrika ya Mashariki, lakini nafikiri tunaweza kuyatumia kwa spishi zote sasa. Kwa hivyo, hata Aloe maculata ni "mshubiri". Nitajaribu kupata nafasi kuanzisha makala yake.
Tafsiri ya "succulent plant" si rahisi. Niliona tafsiri kadhaa lakini sizipendi. Ni wazi kwamba wafasiri/wapendekezaji wengi hawafahamu biolojia sana. Sijui kwamba istilahi moja imeshazagaa sana katika shule na vyuo nyingi. Mimi ninapenda "mmea mwenye majani manono". ChriKo (majadiliano) 20:25, 29 Novemba 2014 (UTC)[jibu]
Asante kwa maelezo. makala iliyotafutwa hasa ilikuwa kuhusu Aloe vera. Hapa sioni tatizo kutumia jina hili la Kilatini maana inatumiwa kwa Kiswahili siku hizi. ila tu kwa maelezo sawa tutumie mshubiri kwa jenasi Aloe. Kuhsu succulentes sina upendeleo wowote ila ti swali: je "mmea mwenye majani manono" ni kweli tunachotaka? Si mtaalamu lakini nikiangalia maelezo mimea hii inatunza maji mara nyingi kwenye majani, lakini mengine pia katika shina. Nimeelewa vema? Sasa kama tunatumia lugha inayotaja majani pekee - je tunaweza kuingiza pia mimea inayotunza maji shinani? Kipala (majadiliano) 17:28, 30 Novemba 2014 (UTC)[jibu]
Ndiyo, "Aloe vera" inaweza kuwa kichwa cha makala. Kuhusu "succulents", ukitaka kutumia uhakika kwamba mimea hii ina utomvu mwingi katika majani na mashina, basi sema "mimea wenye utomvu mwingi". Lakini kwa mtazamo mwangu, hakuna tafsiri fupi ambaye inajulisha maana yake kabisa. Kwa hivyo ninapendekeza kuswahilisha (kuna neno kama hili?) istilahi hii: "sukulenti". Maneno mengi yameswahilishwa. ChriKo (majadiliano) 18:14, 30 Novemba 2014 (UTC)[jibu]
Labda "sukyulenti"? Silabi "kyu" ni adimu sana katika Kiswahili, lakini neno lingine lililo na silabi hayo ni neno lililoswahilishwa pia "molekyuli". Rberetta (majadiliano) 18:45, 30 Novemba 2014 (UTC)[jibu]