Mto Laga Balal

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Laga Balal)

Mto Laga Balal ni korongo linalopatikana kaskazini mwa Kenya karibu na mpaka wa Ethiopia.

Maji yake yanaishia katika mto Jubba na hatimaye katika Bahari ya Hindi.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]