Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
Mandhari
| Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi English: Ministry of Agriculture,Livestock and Fisheries | |
|---|---|
| Mamlaka | Tanzania |
| Makao Makuu | Samora Avenue, Dar es Salaam |
| Waziri | Josephat Hasunga. |
| Naibu Waziri | William Ole Nasha |
| Tovuti | mem.go.tz |
Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi (kwa Kiingereza: Ministry of Agriculture, Livestock and Fisheries; kifupi (Kilimo) ilikuwa wizara ya serikali nchini Tanzania.
Ofisi kuu za wizara hii zilikuwa jijini Dar es Salaam.
Tarehe 7 Oktoba 2017 Rais John Pombe Joseph Magufuli, Rais wa awamu ya tano, aliivunja wizara hii na kuifanya kuwa wizara mbili tofauti: Wizara ya Kilimo na Wizara ya Mifugo na Uvuvi, na tarehe 9 Oktoba 2017 aliweza kuwaapisha rasmi mawaziri na naibu mawaziri wa wizara hizo.
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Tovuti Ilihifadhiwa 30 Januari 2018 kwenye Wayback Machine.
| Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |