Wizara ya Mifugo na Uvuvi
Mandhari
| Wizara ya Mifugo na Uvuvi English: Ministry of Livestock and Fisheries | |
|---|---|
| Mamlaka | Tanzania |
| Makao Makuu | Samora Avenue,Dar es Salaam |
| Waziri | Luhaga Joelson Mpina |
| Naibu Waziri | Abdallah Hamis Ulega |
| Tovuti | mem.go.tz |
Wizara ya Mifugo na Uvuvi (kwa Kiingereza: Ministry of Livestock and Fisheries) ni wizara mpya inayojitegemea ya serikali ya awamu ya tano nchini Tanzania iliyopatikana baada ya kuvunjwa kwa wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi na kutengeneza wizara mbili tofauti: Wizara ya Kilimo na Wizara ya Mifugo na Uvuvi. Ndivyo alivyoamua Rais John Pombe Joseph Magufuli tarehe 7 Oktoba 2017.
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Tovuti Ilihifadhiwa 30 Januari 2018 kwenye Wayback Machine.
| Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Wizara ya Mifugo na Uvuvi Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |