Nenda kwa yaliyomo

Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika (kwa Kiingereza: Ministry of Agriculture, Food and Cooperatives kifupi (KILIMO)) ilikuwa wizara ya serikali nchini Tanzania.

Ofisi kuu za wizara hii zilikuwa jijini Dar es Salaam.

Serikali ya awamu ya tano iliibadilisha wizara hii na kuiunganisha na wizara ya Mifugo na Uvuvi hivyo kuwa wizara moja wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi.

Baadaye serikali ikaona umuhimu wa kilimo kwa taifa ikaigawa tena wizara hii kuwa wizara mbili: Wizara ya Kilimo na Wizara ya Mifugo na Uvuvi.

    Tazama pia

    [hariri | hariri chanzo]

    Viungo vya nje

    [hariri | hariri chanzo]
    Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu.
    Je, unajua kitu kuhusu Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari
    Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
    Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.