Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi
Mandhari
Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi (kwa Kiingereza: Ministry of Education and Vocational Training; kifupi: MOE) ni wizara ya serikali ya Tanzania. Ofisi kuu ya wizara hiyo ipo jijini Dodoma.
Nchi ya Tanzania ilikuwa haitumii sana mfumo wa shule za ufundi, kumbe kwa sasa imeona zinahitajika ili kuwe na maendeleo kama mataifa mengine.
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Tovuti rasmi Ilihifadhiwa 20 Februari 2009 kwenye Wayback Machine.
![]() |
Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |